Salamu!
kwa wale wakristo na waamini wengine ati medically speaking, na kwa physiological facts naombeni sababu zilizopelekea kifo cha Yesu.
1. hypovolemic shock
2. shock due to pain
3.....
4.....
5.....
..
..
..
Karibuni tujadili, naomba tusiliidiscuss kwa kulenga imani, let's view it...
hili halijaanza jana wala juzi ila siku hizi imezidi mno na kuwa kero. tafadhali sana waandishi wa magazeti, naombeni mzigatie uandishi wa kiswahili fasaha na sahihi pasipo kukera wasomaji... unakuta mwandishi kabisa anaandika neno "razi" au "lazi" badala ya radhi kwenye gazeti linalosomwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.