Taarifa zilizopo ni kuwa mama anatisha mpaka sasa....maccm wananunua shahada vya kutosha....baada ya kuona mgombea wao hali ni mbaya saana kwa ujumla mgombea wa ccm bwana mgimwa hauziki kalenga.......msiwapotoshe wana tanzania....
Nawasihi watanzania wenzangu tusifanye mchezo na taarifa hii ya mh rais.....italiangamiza taifa letu.......huyu lukosi anajua ubaya wa hii kauli ila anataka kutupotosha......ni vigumu mno kuamini kama kauli hii kweli imetolewa na mh rais......
Ndugu wadau nafuatilia kwa kina mijadala anuai hapa nchini..iwe rasmi na isiyo rasmi...nagundua kuwa kuna daraja limejengwa na serikali kwa ubia mkubwa na chama tawala likilenga kukwamisha mafanikio ya vyama vya upinzani na wanaharakati......kama wana demos tunahitaji mtazamo tofauli ili sura...
Nafuatilia kwa makini mno yanayotokea chadema,,,, wanao yapinga wanakuja na hoja za ubinafsi na si zenye mahadhi ya chama,,,wanaibua vioja vya udini,ukanda na ukabila,,,,....ndugu zangu kujisafisha kupo.tuelewane na tuwe majasiri..........kina kitila hawajaweka ushahidi wa kutosha wa matumizi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.