Pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa Kamanda Vicent Remoy.
Kifo cha Meya huyo ni pigo la pili kwa Chadema ndani ya siku nne baada ya chama hicho Wilaya ya Bunda kuondokewa na Diwani wake wa Kata ya Nyasura, Zamberi Mwisarya (68) aliyefariki katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.
Wakuu hii mipasho yote ya nini? Hoja ni hii hapa:
LOWASSA Shujaa wa Maamuzi magumu lakini asiezungumzia "Ufisadi"huu sio unafiki??
Tuanze na ufisadi ulioanzia kwenye sakata la Richmonduli lililomnyofoa uwaziri mkuu ...
Haswa!!! Si ametamba kuwa ataivua nguo CDM, anafuata nyayo zile zile za Mtela, Juli et al. Na bado ana wenzake wataendeleza sakata.....Lakini Mungu atawaadibisha.
Sasa wewe unadhani Kenya ndio mhusika pekee wa kuvunjika EAC?
In any case jumuiya inaweza kuwa ya nchi mbili, tatu, kumi etc. Tanzania kujiengua leo hakuvunji jumuia. You are in today and out tomorrow and life goes on.
Mwigamba ni chui ndani ya ngozi ya kondoo. Kwa aliyoyafanya hastahili kuwa mwana CDM hata akiomba msamaha. Ni msaliti kama akina Mtela et al. Aende zake kwa mabwana wanaomtumia - ccm kwa maana kazi waliyomtuma ametekeleza.
Na bado, wako mamluki wengi ndani ya CDM
Hii kampuni nadani ni ya waarabu. Hata hivyo nakubaliana na observation yako; lakini hii kampuni siyo mara ya kwanza kuungua moto. Nadahani kuna kitu nyuma ya mioto hii. Bima wachunguze vizuri
Hivi nyie CDM katiba mpya mnaishadadia kwa nini? Acheni hii katiba tuliyonayo iendelee na nina hakika kwa katiba hii hii CDM itashinda uchaguzi 2015. Hivyo mtakapochukua uongozi wa nchi muitumie katiba hii hii kuwapiga maccm kwa kipindi cha miaka kumi ndiyo mfikirie kuunda katiba mpya kwa...
Wanaipenda CCM kama nini cjui!!! Ona matokeo ya chaguzi zilizofanyika 16/06/2013:
Kata ya Mbalamaziwa wilaya ya Mufindi: CCM kura 1420; CDM kura 184
Kata ya Ng'ang'awe wilaya ya Kilolo: CCM kura 686; CDM kura 217.
Sasa wanalalamika nini kina Lukuvi kuchukua vibali???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.