Sawa kabisa. Kama ni hivyo, Je, na huyo Jiwe ni nani basi "alimfanya kitu" hadi akatoweka kwenye uso wa hii Dunia? Kama hakukuwa na yeyote wa kumfanya kitu hata akiamua kuivunja au kuipuuza hiyo katiba??
Nimekaa paleee.......
Naomba majibu 😎😎😎
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.