Nadhani tatizo sio grammar ya iliyotumika bali ni baadhi yetu kuongozwa na grammar iliyokosewa kiasi kwamba hata kitu kilichoko right tunadhani kina makosa hahahaha
Nadhani hapa issue sio andiko la Dr Slaa au personality yake, bali mwandishi wa uzi huu amejaribu kujikita kwenye context na ndilo la msingi. Kila mtu anawiwa kuwa na mawazo yake anayoyaamini.
Mudawote
Ujumbe kwako
1. James 3:8-10
But no human being can tame the tongue. It is a restless evil, full of deadly poison. With it we bless our Lord and Father, and with it we curse people who are made in the likeness of God. From the same mouth come blessing and cursing. My brothers, these...
Nadhani kusingekuwa na madhara makubwa kama waziri mkuu angetoa jibu lolote kuliko alivyozuia naibu spika. Naibu spika ameanzisha mjadala mkubwa sana.......
Jamani issue tayari ipo polisi na itaenda mahakamani, why cant we be patient. Leo naona kila mmoja analake lakini at the end of the case tunaweza shangaaaa wote
Wanabodi hebu tusaidiane hapa, huu ujenzi unaoendelea kwenye maeneo ya wazi, mbona wakurugenzi wetu waliopo manispaa hawachukui hatua?
Maeneo mengi ya wazi yametwaliwa na wenyw pesa! Watoto wetu na wa kwako watacheza wapi? Vikao vyetu vya mitaa vitafanyikia wapi?
Jamani tusaidiane katika hili
Mimi sitaki kuiamini hii makadirio, i gues there is something wrong with the system! Ila.kwankuwa humu ndani wapo pia wakubwa wa tra, watusaide kufunguka!
Hatuwezi kuendelea kwa kukwepa kodi! Wanaolipa kodi na ambao hawslalamiki ni wale waliokuwa wanalipa siku zote, therefore hao wanaojifanya...
Niungane nawe Lazalaza, haliya Morogoro nimbaya! Viwanja vya wazi ki!a mahali vimsuzwa. Mipango miji ipo karibu zaidi na iljyowauzia maeneo ya wazi. Shida kubwa.
UONGOZI WA MANISPAA NI KAMA HAUPO. LUKUVI TUNAO BA UJE UTUSAIDIE
Ndugu wana jamvi, nadhani wote tupo mamoja katika kusikitikia ubinafsishaji wa maeneo ya wazi. Hili ni tatizo kubw sana. Ukiangalia wanaonunua maeneo ya wazi ni wale ambao tayari wana magorofa ambayo yanaviwanja vya juu kwa ajili ya wajukuu wao. Je mtoto wa mlala hoi atacheza wapi.
Ni dhahiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.