Kuna jamaa alikuwa idara ya wanyamapori baadae akahamia nemc mweupe hivi jina nimesahau. Likizo zake huwa anaenda nchi jirani ya Rwanda. Yupo miaka mingi nchini. Nendeni pale nemc muulizie mtu aliyehamia kutoka idara ya wanyamapori mtanishukuru baadae
Mapendekezo yangu, hawahapa nawaona kuwa wanafaa:
1. Kassim Majaliwa
2. Simbachawene
3. Gwajima
4. Dr Ali Hassan Mwinyi
Hawa wamekuja kichwani haraka haraka ingawa ishu ya mkristo sijazingatia. Nitarudi baadae kuongeza list au kuiedit hi
Mapendekezo yangu, hawahapa nawaona kuwa wanafaa:
1. Kassim Majaliwa
2. Simbachawene
3. Gwajima
4. Dr Ali Hassan Mwinyi
Hawa wamekuja kichwani haraka haraka ingawa ishu ya mkristo sijazingatia. Nitarudi baadae kuongeza list au kuiedit hii
Aisee! Ukijiuliza sana maswali unaona hata jamaa aliyetekwa inawezekana alikuja nchini kwa mission maalum. Wamemchukua sababu amemaliza mission yake. Inaonekana hawa warwanda wamejaa sana nchini. Bosi wao anatujua nje ndani kiasi kwamba akitaka kufanya kitu chochote kile hapa nchini anafanya...
Kanda ya ziwa ina mikoa ifuatayo:-
1. Mwanza
2. Mara
3. Kagera
4. Geita
5. Simiyu
6. Shinyanga.
Kwenye hesabu zako jumlisha na idadi ya watu wa mikoa ya Mara na Kagera ambayo hujaiweka hapo halafu linganisha idadi yake na mikoa uliyoitaja ya Dar, Mbeya, Morogoro, na Arusha.
Kumbuka vyama vya...
Wanafunzi wengi waliopo UDOM wanatokea Kanda ya Ziwa. Kwa miaka miwili niliyokaa pale, nilikuwa nawahoji wanafunzi wakati nikienda kula. Wengi wao wanatoka mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu, na Shinyanga. Kundi lingine kubwa linalofuata wanatoka mikoa inayozunguka Dodoma ya Iringa...
Yeah, ni kanda kubwa na ina watu wengi ambao ni turufu kwenye medani za siasa, biashara na uchumi. Lakini viongozi wake hawaleti maendeleo na wana ubinafsi. Kifupi viongozi hawana ushawishi serikalini kwenye kuleta maendeleo, ni Magu tu ndiyo akithubutu naye kwa sababu alikuwa kiongozi wa juu...
Maji yapo ya kutosha kuzalisha umeme usio katika hata siku moja. Nimetembelea mto Mnyera na Mto Ruhuji ambayo yote miwili inaingiza maji yake mto Kilombero, ina maji mengi mno na ukizingatia ni wakati wa kiangazi.
Hapa nilitaka kusapoti hoja yako kuwa tunahujumiwa. Hao wanaosingizia kuna ukame...
I
Inakimbia balaa, ndani ya mita 50 inakuwa imefika speed 100 kama umekanyaga mafuta mengi. Kwenye mlima inapita kama tambarare tu. Hawa jamaa wa vx sijui v8, sijui nini, naenda nao bila shida. Inanguvu balaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.