Well said zitto junior sio wanataka tusifie,tusifie nini sasa wakati watu waliotufikisha hapa wapo halafu wanahangaika na wawekezaji.
Pumbavu kabisaaaa in sizonje's voice!!
Hata kama hakuna msafi,huyu anayetaka sifa afanye basi ili tumsifie.
Hatutaki apambane na tatizo tunataka apambane na chanzo cha tatizo hili litafanya watu wawe waoga lakini sio hawa kila sehemu kuna tatizo wanajifanya kuhangaika na tatizo lakini waliopelekea kutokea kwa tatizo hawachuliwi hatua...
Kweli kabisaaa Babati,kwanini waliotufikisha hapa hawapelekwi mahakamani?waliotuingiza kwenye hasara ya madini wapo lakini hata majina hayakutwa au hata kufirishiwa na kupelekwa mahakamani hakuna
Waliotufikisha katika hili pia wapo lakini wanazunguka zunguka hata kuwataja na kuwafikisha...
Tuambie adui gani tunayepambana naye mpaka sasa?
Ambaye huyu adui ni tofauti sana tena sana na tawala zote zilizopita ambaye sasa ukisema kuhusu serikali unaonekana unasaliti wenzio.
ADUI unaye muongelea nina?
Kwahiyo walinzi kwenye nyumba za waheshimwa sana aliwaaondoa Lisu?
Na CCTV aliziondoa Lisu ili ajimalize mwenyewe?
Au unaonaje ukisema hata zile risasi alijipiga mwenyewe ili atafute kiki?
Tanzania ya treni ya UMEME
Nawaza kwa sauti pale watu watakavyokuwa wananasa masaa kwenye treni baada ya umeme kukatika bila formula.
Bora zangu nipo kolomije mie hizo purukushani za kunasa kwenye treni nitazisoma JF.
Ndugu huelewi unatakiwa kuishi km shetani?
Ukilalamika sana wewe utakuwa ulikuwa una madili sili mengi sana sasa mianya imezibwa unalia lia.
Sio mimi ni pale kwenye jumba jeupe
Mbona rahisi kukulikana hasa ukipata kuwa famous
Umesoma na watu shule ya Msingi
Umesoma na watu O level
Umesoma na A level
Umesoma na watu sijui certificate au Diploma
Umesoma na watu degree nk
Huku kote inawezekana ukawa na marafiki ambao inawezekana wakawa wamewahi kufika mpaka kwenu na...
Unawaambia wabunge wa CCM wafanye marekebisho wakati wao ndio waliipitisha kwa mbwembwe!!!
Hatuna wabunge watetezi wa wananchi,tuna wabunge watetezi wa maslahi yao na serikali yao ya CCM.
Na sing'atuki ng'oooo,nina mpango wa kubadili Katiba iwe miaka 7 niwe madarakani mara mbili miaka 14
Kama nitakuwa na nguvu nabadilisha tena 14 mara mbili 28 mpaka mnyooke mlipinda pinda sana.
Dah!naililia Tanzania yangu naiona inapoelekea si salama ila km kuna watu wanajitahidi kwa kila hali kuipeleka kwenye shimo la moto.
Mungu iokoe Tanzania,ikawe tena kisiwe cha Amani na furaha sio km sasa ni mashokoro mageni,lugha gongana yaani tumepotezana km waliokuwa wanajenga mara wa Babeli...
Huo uchochezi sasa kwanini unasema kwa wananji umeme ume katika mara 5?
Ukapimwe haja zote za mwili na za roho!!ndio utaacha kuchochea moto kwa wananji.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.