Habari wakuu, simu yangu inatatizo la inastack halafu screen inakua na mwanga wakijani, baada ya mda inakua black mpaka betri iishe ndo inawaka tena kawaida...tatizo itakua nn msaada tafadhali. Betri yake ipo ndani kuichomoa ni tatzo betri yake ni built in... kuizima ni mpaka betri iishe...
Wakuu naombeni msaada tecno l6 inakataa kupokea cm pale ninapobonyeza kitufe cha kupokea simu na kitufe cha kukata pia hivohivo nikipokea inaniambia; unfortunately phone has stopped.
Habari wataalam,
Naomba kujuzwa kuhusu flat screen bora na nzuri kulingana na hivi vitu huwa vinanichanganya LCD na LED pia nimesikia kwa watu kuna smart 4 na 5 na pia brand gani ni nzuri kuliko zingine.
Napenda kujuzwa ipi ni bora kwa kuangalia vitu hivo hapo.
Asanteni
Mnatakiwa kuripoti trh 10/11 kwa ajili ya usajili.
http://www.nit.ac.tz/index.php?option=com_phocadownload&view=category&download=35:selected-applicants-to-join-bachelor-degree-programmes-for-2014-2015-academic-year-first-batch&id=8:list-of-selected-students&Itemid=657...
Nimefanikiwa kufungua lakini nimeingiza namba nikaambiwa you did not secure loan for 2013/2014. sasa cjui ndo nimekosa na kama hvo inamaana na boom na accomodatioin nimekosa au. naomben msaada!!!!!
fungua website ya tcu fuata link, ingiza namba yako ya form four halaf jina la kwanza na la mwisho utaona selection yako. jina lisipotaka bac subiri baada ya mda kidogo ingiza tena utaona ulipochaguliwa.
Jaman Wadau Hiki Chuo Mbona Hawatoi Selection Halafu Website Yao Sijue Ikoje Au Ndo mpaka Tcu? Mwenye Kujua Atujuze au Aliewasiliana Nao. Maana tumechoka Kusubiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.