Ratio nota Masada amekurupuka,
anaongea vitu ambavyo Hana detail navyo,kutengeneza ofisa aw jeshi sio kazi raisi Kama unavyodhani, ukija module degree Chako unakiacha Getini, pale wote ni cadet
yaan hawa watu wa tanesco walivyobusy kushusha ubora wa maisha ya mtanzania kutaka kuchukua kidogo anachopata na kwenda kulipia madeni yao ujinga(dowans)
Jast imigine mafuta yanapanda bei umeme nao wanataka kupandisha juu tutafika kweli jamaa
hizo ni sera za kuwadanganya na kuwhadaa watu wa vijiji ambao ndio wengi tanzania kwamba usipochagua CCm it means amani itatoweka kwa sisi wa mjini wenye uelewa wetu hiyo haingii akilini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.