Tafadhali naomba kuuliza swali na nitafurahi kupata majibu mazuri.Ugonjwa wa tambazi ni nini?.Dalili zake ni zipi?.Madhara yake ni yapi?.Na matibabu yake ni yapi?.Mzizi mkavu na wataalam wengine naomba msaada wa jibu.
Nazipata chanel za TING kama vile ATN,TBC1,SETANTA,ALJAZEERA,TBN,CHANEL TEN,CNN,MUVI TV AFRICA,ITV,K24,STARTV,EMMANUEL TV,COLORS na startimes guide ambayo ni ya kwao.
King'muzi changu cha startimes ,nimekuwa sikitumii mara kwa mara kutokana na picha kuganda sana.Lakini leo nilipokiwasha kinaonesha chanel za TING naendelea kufaidi.
Tutakuwana lundo la visimbuzi.Na hili wananchi walikuwa na hofu nalo lakini TCRA walishikilia bango kuhamia digitali.Ninampango wa kukitupa hiki cha startimes na nitanunua cha TING kwa sababu sasa kinapatikana MBEYA.
wakuu naomba kunijuza tafadhali.Nina matokeo ya GPA 2.6666667 katika matokeo yangu ya diploma ya ualimu.Je,ninaweza kuyatumia kuomba nafasi ya masomo shahada ya kwanza kupitia TCU?
Nawashangaa Bomba FM wameanza kutuma ujumbe mfupi kwenye simu za watu na kukata hela.Mimi mwenyewe ni mojawapo ya watu hao.Nahisi kwa sababu niliwahi kuomba wimbo wa dini kupitia radio yao.Hapo ndipo walipoipata namba yangu.Hiyo siyo haki.
Startimes wananiboa sana.Nilinunua kisimbuzi chao januari 2012 na nilitumia antena ya ndani tu nikawa napata matangazo vizuri.Lakini kuanzia februari mwaka huu,picha zinaganda.Nimenunua antena ya nje lakini picha zina zinaganda na nimejaribu kuinua antena juu signal inaishia 41 tu.Hivi TING...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.