Search results

  1. S

    Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

    Mimi ni mwanaume tumbo langu linaniuma upande wa kusho kwa chini na kende la kushoto linauma na kuvima.
  2. S

    Dawa ya kitambi hii hapa

    ninataka nisile chakula chochote siku nne bali ninywe maji tu nitafanikiwa?
  3. S

    Mshipa wa ngili(henia)na nguvu za kiume.

    Swali je ni kweli ugomjwa huo husababisha upungufu wa nguvu za kiume?
  4. S

    Msaada sentensi hii kwa lugha ya Kiingereza

    Wadau naomba msaada wa sentensi hii in english .ELIMU HAINA MWISHO.
  5. S

    Ewe mwalimu toa maoni yako hapa kuhusu uchovu wa chama cha walimu kwa sasa

    Haijawahi kutokea mwl kudai fedha za likizo kwa mwaka mzima baada ya chama kuanziwa.Vilevile madaraja ni kero kubwa.
  6. S

    Uchaguzi wa mwaka huu, walimu tusirudie makosa

    Chama cha walimu kwa sasa kiko kama pazia tu tena chafu.
  7. S

    Yanayojiri katika Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar uwanja wa Amaan

    sasa kwanini atangulie kufika bosi halafu mdogo afuatie?.Itifaki imezingatiwa?.
  8. S

    Kuhusu fedha za likizo kwa waalimu wa wilaya ya Busega mkoani Simiyu!

    Hata huku chunya toka mwezi wa sita fedha za likizo hazijalipwa na tumeisha fungua muhula mpya jumatav wiki hii.
  9. S

    Kuhusu afcon 2015 startimes jibuni hapa

    Baada ya kuondoa channel za ubc na kbc mwaka 2013 hatukuona live AFCO katika startimes.Je mwaka huu tutaona?.Au tuhame?
  10. S

    Msaada: Dawa ya kuongeza Homoni ya Testesterone mwilini

    wadau mimi ni mwanaume miaka 40. Tatizo langu ni kwamba sperm zinazalishwa kidogo sana kiasi kidogo sana.
  11. S

    Nimehitimu kidato cha sita miaka saba iliyopita, naweza pata mkopo?

    Mimi ni kijana niliyehitimu miaka saba iliyopita.lakini kwa kuwa wadogo zangu wananitegemea nilianza shughuli mbalimbali
  12. S

    Msaada ugonjwa wa tambazi tafadhali.

    Tafadhali naomba kuuliza swali na nitafurahi kupata majibu mazuri.Ugonjwa wa tambazi ni nini?.Dalili zake ni zipi?.Madhara yake ni yapi?.Na matibabu yake ni yapi?.Mzizi mkavu na wataalam wengine naomba msaada wa jibu.
  13. S

    startimes wananiboa.

    Mimi niko kiwanja chunya.
  14. S

    Mishahara ya walimu juu

    Hiyo E1 na F1 mbona ni ndogo.Kwa sasa E1 ni sh.720,000. na F1 ni sh.930,000.Sasa inamaana mishahara itapungua?.
  15. S

    King'amuzi cha startimes leo ni balaa.

    Nazipata chanel za TING kama vile ATN,TBC1,SETANTA,ALJAZEERA,TBN,CHANEL TEN,CNN,MUVI TV AFRICA,ITV,K24,STARTV,EMMANUEL TV,COLORS na startimes guide ambayo ni ya kwao.
  16. S

    King'amuzi cha startimes leo ni balaa.

    King'muzi changu cha startimes ,nimekuwa sikitumii mara kwa mara kutokana na picha kuganda sana.Lakini leo nilipokiwasha kinaonesha chanel za TING naendelea kufaidi.
  17. S

    Star TV na ITV kujitoa rasmi Startimes muda si mrefu!

    Tutakuwana lundo la visimbuzi.Na hili wananchi walikuwa na hofu nalo lakini TCRA walishikilia bango kuhamia digitali.Ninampango wa kukitupa hiki cha startimes na nitanunua cha TING kwa sababu sasa kinapatikana MBEYA.
  18. S

    Naweza kujiunga na shahada ya kwanza ya ualimu?

    wakuu naomba kunijuza tafadhali.Nina matokeo ya GPA 2.6666667 katika matokeo yangu ya diploma ya ualimu.Je,ninaweza kuyatumia kuomba nafasi ya masomo shahada ya kwanza kupitia TCU?
  19. S

    Hawa bomba FM vipi?

    Nawashangaa Bomba FM wameanza kutuma ujumbe mfupi kwenye simu za watu na kukata hela.Mimi mwenyewe ni mojawapo ya watu hao.Nahisi kwa sababu niliwahi kuomba wimbo wa dini kupitia radio yao.Hapo ndipo walipoipata namba yangu.Hiyo siyo haki.
  20. S

    startimes wananiboa.

    Startimes wananiboa sana.Nilinunua kisimbuzi chao januari 2012 na nilitumia antena ya ndani tu nikawa napata matangazo vizuri.Lakini kuanzia februari mwaka huu,picha zinaganda.Nimenunua antena ya nje lakini picha zina zinaganda na nimejaribu kuinua antena juu signal inaishia 41 tu.Hivi TING...
Back
Top Bottom