Search results

  1. M

    Uandikishaji vitambulisho vya uraia unakwenda mrama

    Kweli kabisa ujazaji fomu kwa ajili ya vitambulisho una mambo. Nilipowasiliana na Afisa Mtendaji wangu wa Mtaa ili anipatie maelezo taarifa gani zinahitajika katika kaya yangu ili nimtayarishie ahead of time ili atakapotembelea aje tu ku-verify wanakaya wangu, alikataa kata kata na kunidhihaki...
  2. M

    Baraza la Kiislamu la Maadili lalaani kuzomewa Dk Magufuli

    Sasa Waislamu mutaona hatari ya watu kama hawa wa Baraza la Maadili kuteuliwa kuwaakilisha katika Constituent Assembly tokea "faith-based organizations" ya kujadili katiba mpya. Mashehe hawa hawakuona kejeli za Waziri. Pia, hawakutilia maanani kwamba kilichopanda sio tu nauli ya abiria bali pia...
  3. M

    Hakika Lowassa ni mgeni wa sheria....

    Huyu baba si kwanza ajivue gamba? Anangoja nini? Wanaodhani ni presidential material wanahitaji kichekiwa afya zao hasa ile sehemu muhimu sana
  4. M

    Rakesh wa KULEANA – HAKI ELIMU na sasa TWAWEZA ni KIVULI cha nani?

    Tafiti za Rakesh zimesaidia kutufunua macho sana. Tatizo nchi hii hatupendi kufanya research-based decision making. Tunapendelea sana kuendeleza customs na dogmas. Ukichukua mfano wa viboko mashuleni ni muhimu sana kufanya utafiti kutusaidia kufanya maamuzi. Tukumbuke suala hilo lilikuwa ndiyo...
  5. M

    Lowasa Alikuwa Akitoa Tenda za Ujenzi kwa Kampuni za Kuuza Maziwa ya Nido...Hafaiiiiii!!!!

    Jamani si huyu EL ambaye aliachiwa laana na Baba wa Taifa kwamba ni mchafu hafai uongozi? Leo tena eti anajidai na kulaumu kwamba maamuzi mazito hayafanyiki. Haya yangefanyika asingeishia kujiuzulu. Ilipashwa afikishwe mahakamni kujibu mashitaka ya abuse of office kama ilivyofanyika Uganda kwa...
  6. M

    Tundu Lissu na Wenzake waachiwa kwa dhamana na masharti magumu

    Tundu Lisu ni mkombozi. Siku moja ukweli utadhirika na uwongo utajitenga
  7. M

    Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

    Hivyo hii siyo thread ya kihuni?
  8. M

    Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

    Taarifa kama za gazeti hili zinasaidia kuwapotosha baadhi ya watu kuhusu matibabu ya "dawa" itokanayo na mmea uitwao "Mugarika". Maelezo ya kutibu yako based on ushuhuda wa watu ambao siyo watalaamu wa tiba au watafiti. Nchi kama hii ambayo tafiti ziinabainisha wengi ni wanaamini ushirikina...
  9. M

    Hizi gharama za mawaziri kuishi hotelini zitalipwa na nani?

    Nchi hii ni ajabu kweli kweli. Inawezekanaje tunaweza kuvumlilia uozo kama huu? Ukienda hospitali ya umma si ajabu ukaambiwa dawa hii au ile hakuna. Kisa bajeti ya kununua dawa ndogo. Na unaweza hata kufa kwa kukosa dawa. Lakini wafujaji wa fedha za walipa kodi wanapeta hata baada kupanga mpango...
  10. M

    Nani bora kati ya jk na mkapa kwa miaka mtano ya mwanzo

    Hmmm inaelekea wachangiaji wengi wanampa Ben alama nyingi zaidi kuliko JK. Lakini kama mchangiaji mmoja alivyosema wote mabomu. Ben alifanikiwa tu kuwa dikteta zaidi. Baada ya uchaguzi alisimamia watu wengi zaidi kuuwawa kule Pemba. Alibadilisha katiba kurudisha vipengele vya hovyo kama vile...
  11. M

    Project 2015: Mwinyi haoni uharaka wa Katiba Mpya

    Personal attacks kwa mtoa hoja haziongezi hadhi la jukwaa hili. Lakini maoni kwamba "why new constitution now" yanasikitisha. In fact new constitution imecheleweshwa. Mapendekezo ya Ripoti ya Jaji Nyalali yalishauri vyama vingi vianze na katiba mpya na kufuta au kurekebisha sheria kandamizi...
  12. M

    Elections 2010 Umafia wa CCM sasa ni dhahiri zaidi

    It is very obvious that CCM should be voted out of power. The party's desperate attempts to cling to power are easy to see. Yet I do notice a sizable number of people who will still vote for CCM. Thus it is the duty of every one who has seen the light to persuade those who are still victims of...
  13. M

    Kiswahili kutumika rasmi serikalini

    Wazo zuri sana lakini ni lazima wahusika waandae mkakati wa utekelezaji. Baadhi ya mbinu za utekelezaji ni kwa kushirikiana na BAKITA. Kwanza makamusi ya Kiswahili Sanifu yazambazwe maofisini. Pia, BAKITA ianzishe tovuti yake na iweke kamusi rasmi ya Kiswahili yenye istalahi zote za kitaalamu...
  14. M

    TCRA: Ushauri wa bure huu hapa

    Ushauri huu ni mzuri. TCRA inafaa uangalie kwa undani. Nimeshaona kila provider ameweka utaratibu tofauti kidogo. Wengine hawa demand kila mtu asajili kwa kujipeleka physically katika ofisi ya provider. Wengine wanataka such details like IMEI, serial number ya sim card na wengine hawahitaji...
Back
Top Bottom