Ajira na mfumuko wa bei ni tatizo kubwa kwa watanzania, tulitegemea ubinafsishaji ungetatua tatizo la ajira kumbe ni majanga. Ikaja mbiu ya kilimo kwanza, ilo trekta dogo linauzwa Tsh. 15m, mbolea bei juu , ukiongeza ma ukame sasa kuchimba kisima ili ufanye kilimo cha umwagiliaji gharama yake...
Ndoa zetu za ujana ni sheedah, haswa zama hizi za whassap, facebook na mitandao hii mingi ya kijamii inayoongezeka kila kukicha,pole sana mkuu kwa maamuzi mazito uliyochukua.
Cha muhimu wote kufika, mda mrefu kwa kweli si mzuri kwa wadada maana inafika kipindi oil inakauka kwenye injini,kinachofata uharibifu wa injini, kuitumia tena lazima matengenezo yafanyike kwa siku kadhaa. Ingekuwa inaongeza spidi na wingi wa mbegu ingekuwa poa sana.
Nishawahi shuhudia Ndoa ya namna hiyo, tena wao walipata mtoto ambaye alifariki akiwa na miaka miwili kwa magonjwa nyemelezi na miaka mitatu iliyofuata mke akafariki, mume haku athirika ila kipindi mtoto anaumwa walienda kupima iligundulika mama na mtoto wameathirika wakati baba hana virusi, Cha...
Inawezekana hana kadi ya Chadema ila alikuwa anakishabikia na kukipenda chama cha chadema kama ilivyo kwa wapenzi wa Arsenal,Chelsea au Man U ni wapenz dam dam lakini hawana kadi za uanachama wa timu hizo!
Huyu jamaa ni Civil engineer, 2004-2008 Udsm, mwaka 2006-2007 alichaguliwa kuwa rais wa wanafunzi udsm, jamaa ukimwachia nafasi ya kuongea ana kipaji cha ushawishi mkubwa sana.
Kama Yesu na/au Mohamad wa/asingekuja duniani Imani ya uwepo wa Mungu Mmoja ingekuwa ndogo mno, hawa wote wamekuja na kuudhihirishia ulimwengu kwamba Mungu yupo na ametupa uhuru wa kuchagua kuishi kwa matendo mema ama mabaya na kutuelezea matokeo ya kuishi kwa hayo matendo.
Ondoa hofu mkuu, natumai hujawahi kuona tembe anamfukuza jogoo ili apate kushiriki tendo, kwa hiyo mwanaume ni sawa na jogoo. Hla kama mkiwa mnashiriki tendo haonyeshi ushirikiano ama mara nyingi ukiomba mechi unakataliwa ndo hapo pa kuingia mashaka.
Mshika kibendera wa treni alilala nini? maana hupaswa kuwa na ratiba za upitaji wa treni ili awahi kufunga geti linalozuia magari kupita pindi treni inapokatisha.
Kwa kweli foleni ya huku imekuwa kero, maana toka mbagala rangi 3 mpaka mtoni mtongani inatumika saa nzima! Kwa kweli manispaa ya temeke ifanye juhudi hata kuboresha njia ya mbagala kilungule kupitia tandika ama buza iboreshwe ili kupunguza foleni za asubuhi.
Siku zote sisi wanadamu tunatabia ya kumpa sifa mpaka zilizopitiliza kiongozi tunaemkubali haswa kutokana na maovu ya serikali anayoibua ama uwezo alio nao kwenye hoja mbali mbali zenye msingi wa kumsaidia mwananchi. Lakini pindi huyu mtu anapokosea tena kwa kosa ambalo kwa kutumia busara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.