Hii issue ya huyu dogo inaniuma sanaa na kwa kiasi kikubwa inadhihirisha jinsi vyombo vyetu vya usalama vinakosa uhuru wa kufanya mambo yake vyenyewe ni dhahiri shairi kama wanapoke amri kutoka mamlaka zilizo juu yao, kama wanaharakati wa kutete haki hawataingilia kati dogo anaweza akazushiwa...
Ila ki ukweli sizani kama watanzania wanafurahia jinsi hali ilivyo hivi sasa nchini hasa huu mvutano wa vyombo ya dola na vyama vya siasa, ila haki ikiminywa sana na wananchi wakipoteza matumaini na viongozi waliopo serikalini hapo ndio amani huvunjika
Mkuu mimi sijaona kitu cha ajabu sana alichofanya mwigulu mpaka umuite mzalendo ambaye atachukiwa na wana ccm pamoja na wapinzani, ila nachokiona ni kutaka kumpa sifa kupita uwezo wake wa kupokea sifa mfono kama issue ya jana wengi wamefanya mambo kama hayo ntakukumbusha kidogo
Mhe. mwakyembe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.