Wweeeee tafadhal usiniudhi,,,,hvi huyo mwanamke huko gest Alikuwa mwenyewe????au alienda na mwanamke mwezie?????kwan huyo mwanaume kama ni mume wa mtu?????achen kuwaona wanawake wachafu sana na nyie mwanaume wasafi,,, tena wakat mwingine nyie ndio mnamambo machafu kuliko wanawake.
Very sor kama sio ww ila feelings zilinifanya niandike hivi, nawachukia sana watu wanaopenda kuwalaumu wasichana kila siku, kwanza naanza na ww, ww uliniona mtaa gan me natafuta mwenye pesa??????hiv unafikir pesa zako mm zinanisaidia nn?????tatizo lenu mna pesa za mawazo ndio maana zinawafanya...
Mtalalamika sana na na bado pesa zitawatoka mpaka mshangae, mbona mnaishia kulalamika mchana na usiku lakini kuhonga hamuachi???,ww usiokuwa na hela kaaa pemben acha wenye nazo waendelee kuzitoa,.
Yaaa hata mm simaanishi kumfurahisha mtu ila sion kama kulikuwa na ulazima sana wa dada kumvua mumewe soksi katika muktadha ule na hyo haitamaanisha kwa siku hyo moja yu upendo utapungua.
Jaman lets urgue with reasons, kusema ukwel mtoa mada hajakosea kabisa, mm ni msichana na ninajua wajibu wangu hvo kama mume wangu nampenda itabaki hvo na sio lazima nikuonyeshe ww wa pemben kuwa how I love my man.pia kumvua mume soksi ni jambo lakawaida kabisa ila nafikir staha inahitajika...
Me sijaona kama amekosea jaman Alikuwa anatoa tu ushaur, pia bro ww kama mpnz wako ni msafi hii haimhusu kabisa ila yeye alilenga wale wachafu ambao kubal ukatae wapo katika jamiii.pia katika uandishi anasema alimuacha mpnz wake kwa sababu hakutaka kubadilika, t means kwamba alishamrekebisha...
Mm nafikir ushahur wa himidin ni mzur sana na ukiufwata unaweza kukusaidia, ukimwafa direct ww ataona coz mmegombana unataka pia kumgombanisha na mpnzwe, hivo tafuta hata rafiki yake mwingine ambaye atamfikishia ujumbe ila usikae kimya.
So sad ma dia sometimes kwels girls tunakera sasa huyo majuto yake yapo mlangon yanamsubir.hivi huyo bos hana mke????wakat wengine wanataman ndoa wengine znawapotezea muda, kwel namuonea huruma coz hajui alitendalo,
Habar zen wana jf naomba msaada juu ya hili swal ambalo niliulizwa na mtu nikashindwa kumpa clear answer.hiv nin maana ya ndoto ambayo unaota kama unakula kinyesi, pls mwenye uelewa katika hilo naomba anijuze.kama hujui kama mm naomba tuwe wasomaji tu.
Sitasahau siku aliponipa dedication ya wimbo wa end of the road and by that time siku ufahamu huo wimbo wala maana yake but nilifwatilia nikaujua ukwel,
Real wanawake sisi ni wabaya sana but always men are behind al the things.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.