Hope mko poa wadau,
Naomba msaada kwa anaejua hili tatizo kwenye simu yangu ya Android,Infinix Hot S3. ni kwamba nikiwasha Hotspot ili niweze kushare internet kwenye computer yangu au hata device nyingne haikubali . kwenye computer inaandika inaonesha connected lakin No internet . kwenye cm...
Habari.
Camera Nikon D5200 inauzwa bei sawa na bure. ina charger, battery, cable zote, lenz 18-55mm na memory GB 4.
bei ni 890000(laki nane na elf tisini tu). wasiliana kwa namba 0711448886.karibu
Habari wakuu,
Natafuta tairi na rim saizi 12 za suzuki carry . kwa anaeuza used(za zanzibar) au mpya tuwasiliane kwa haraka PM tufanye biashara.
Asante.
Wakuu salama?
leo nimeona kutoa dukuduku langu kuhusiana na dagaa hawa wa mwanza, rock city. ni dagaa wazuri kwa ladha lakini kero kubwa ni mchanga . imekuwa ni kero hasa ukikuta maandalizi ya hyo mboga kuwa ya hovyo , hasa kwa mama lishe hawaoshwi vizuri sijui.
ushauri wangu ni kwamba huko...
pikipiki ndogo for sale MCAYT 741, scooter - bagamoyo mjini
.speed 140km/h SANLG ikasome ,
.tairi imara zenye kashata nene
.125cc - haili mafuta kabisa 10000 wiki nzima na zaidi
.ina buti kubwa kuwekea vitu vingi
. Automatic , unavuta tu mafuta unapepea
.bei 1.95M(milion moja na laki tisa...
Mambo vp wadau,
Nauza gari yangu picha na details zingine ni kama ifuatavyo
make: toyota
model: landcruiser
mwaka: 1991
fuel: diesel
transmission: manual
njoo ukague gari tufanye biashara.
Bei 8.5m maongezi kidogo yapo , kwa alieserious ni PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.