ni.kweli mkuu hu overtake hata kwenye mzunguko(round about) lilifanya hivyo round about ya area c juzi bahati yake hakukuwa na trafiki maeneo ya jacana inakera sana.
Wana jukwaa mu haligani?
Nimepanda daladala mida hii toka S. Gema kuja Jamatin konda ananuka balaa na kinacho toa harufu ni nguo ya ndani kiasi inzi kumfata yanI gari nzima inanuka.
IMENIBIDI KUTEREMKA NJIANI NITAFUTE USAFIRI MWINGINE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.