Nahitaji kutengenezewa plastic packing bags zaidi ya 500 , Naomba kama kuna mtu au kampuni inaweza kufanya hii kazi kwa bei nzuri tupeane mawasiliano au nicheki whatsapp 0759696989, Nimeambatanisha sample ya mifuko ninayo hitaji.
Nahitaji kampuni inayoweza kunitengenezea plastic bag kama hizo nilizo ambatanisha kwa bei nzuri . Iwe hapa hapa tanzania , Kama kuna mtu au kampuni unaijua naomba unipe njia ya kuwasiliana nao
Kwa uchunguzi nliafanya juu juu nimekundua wanafunzi wengi wa IT wanaotoka vyuon huwa wanakua na mwanga au ujuz mzuri tu kuhusu programming kutokana na kufundishwa programming languages mbalimbali wanapokua vyuoni.
Ila tatizo ni kwamba wengi wanakosa support ya kuendeleza ujuzi walio nao the...
Habar zenu wakuu .. Nina laptop dell latitude E5420 nilikua na badilisha hdd kwa bahat mbaya pin mbili zilichomoka kwenye hile hdd connector yake.. Naomba kama kuna mtu anayo connector ya haina hiyo tufanye biashara mm niko dar ...ka connector kenyewe ndo hako kwenye hii pc nlio attachh
Mkuu Mwl. RCT hiyo thread nimeipitia nimegundua inatumia toweroot ..hio app kwangu ina root ila ina corruptisha sd na internal storage so unakua na root access ila huwez kuacces storage
Habari zenu wadau? Ninatumia huwei y530 nikai root kwa kutumia toweroot nilifanikiwa lakin internal storage ili corrupt kwahiyo nikawa siwez ku access intenal storage.
Nikaona bora ni fully unroot ili kuirudisha simu kwenye hali yake ya mwanzo.
Sasa naomba kama kuna mtu ameshawai ku root y530...
Chief-Mkwawa,
Nimekuelewa mkuu hivi kwa 250k unazani ntaweza pata simu gan itakayo kizi maitaji yangu na ofcoz mm nimtumiaji sanaaa wa simu so hiyo simu inatakiwa iwe na storage kubwa na speed nzur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.