Your excused mkuu, ni vyema tuelimishane mie mwenyewe ndio kwanza machines hazijaingia nafanya more research kujua nini ni kina manufaa zaidi.. Nitakuwa nashirikiana na mdogo wangu pia.. Kuna jamaa yuko Mbeya anauza mayai ya mbegu zote hizo, na pia kuna dada yuko Tabata anauza hadi mayai ya bata...
Since umekuja kishari Shari nitakujibu hivyo hivyo.. Unadhani naweza nunua incubators za kutotolesha vifaranga zaidi ya 14,000 bila kufanya research ya kupata mayai? Kama huna jibu au hujui kilicho ulizwa ungeweza pita kimya kimya tu
Kwema mkuu, nashukuru sana ndio pia niko kwenye process ya kujenga mabanda. Sema for the first few months nataka ni concentrate na kutotolesha na kuuza vifaranga.. Nashukuru Sana kwa ushauri wako
Habari zenu wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyosema nime order incubators 3 zenye ujazo wa 6,336 ingine 4,224 na 3,520 zinakuja na Hatchers zake pia nime order hatcher peke yake ya mayai 3500.
Naanza kutotolesha vifaranga wa aina zote Kama Cross breed, Black/white Australorps, kroiler, Red...
Mkuuu wewe genius. I was asking myself that same question. Alisema yeye na wenzake wote wako salama, kiakili na kuafya aliyasema hayo Saturday leo anasema bado hayuko vizuri.. Daah anatia huruma maana sijui katishwa kitu gani
Sawa mkuu lakini nakuhakikishia matokeo ni yake.. Jana nimeandika humu huyu jamaa kasoma na mdogo wangu darasa moja wamemaliza mwaka mmoja Nyanza Primary ali fail na bado akaenda Pamba sec ambayo ni government school just because uncle wake alikuwa Mayor wa Mwanza at that time( kosa lingine...
Mkuu hivi huoni Kama Tanzania mabashite ni wengi mno? Heheheee yani siamini kwanini watu wameng'ang'ania hiyo ni certificate? Wapi imeandikwa ni cheti jamani?? Result slip unapewa anytime ukienda na namba ya mtihani na mwaka ulomaliza. Tena wanakupa hapo hapo ni kwamba wana print sio cheti.. For...
Ukiona mtu ansmtetea Daudi Bashite either ni mbumbumbu au mtu wake wa karibu au anapata kitu kutoka kwa jamaa... These are few facts about Saudi A. Bashite mimi binafsi nimesoma Nyanza Primary School mwalimu mkuu wa shule yangu ya Primary anaitwa Mwalimu Tumbo au mama Gumbo mpaka LEO HII...
Basis mwenzako vile vibao alijua bastola hihihiii yani huyo mwanamke kichaa, kusema katishiwa bastola wakati watu tuliona wakati anachapwa vibao. Sasa sijui Abdul kakomaa mpaka mwenzetu hakuweza kutofautisha.
Nimesoma page zote 54 nikagundua Tanzania Ina a very long way to go. Hivi twende na mifano ni nchi gani inatangaza wauza madawa ya kulevya hadharani? Tena wanaosemwa na watu, hujamkamata mtu na madawa bali unasikia sikia tu, shit like that ONLY happens in TZ. Kuna mtu anaitwa Big Meech alikuwa...
Wewe si una busara yule hajui hilo yeye anaona sifa kuonekana mbabe wa nyuma ya keyboard. Siunajua zile ngoja nionekane siogopi mtu. I feel sorry for her children mama Kama huyu ni lazima ujute
Just imagine she always says her billionaire boyfriend don't want her to engage in people's business especially politics lakini hamsikilizi, huyu ni mtu wa aina gani ambae hataki kumsikiliza hata mwandani wake. Even though we all know hana bwana wa maana sema kujikwaza tuu, yule angeacha kupost...
Yani huo mfano wa mama nimesikia kibaridi ghafla! Huyu hamnazo mkuu kabisa yani just watch how mzungu anachukua vile vichotara. Ndio atazidi kuwa chizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.