Search results

  1. S

    Ticha gani wa twisheni ulikuwa unamkubali sana

    dah! Kuna jamaa wakuitwa NUNDA pale boma ilala jamaa alinisaidia sana kwangu biolology kwangu ilikuwa kama kutereza kwenye mchuzi wa mrenda
  2. S

    Lab coat zinapatikana wapi?

    unashona mwenyewe.kanunue kitambaa cheupe mpe fundi akushonee
  3. S

    Naomba kufahamishwa Kuhusu City College of Health and Allied Sciences

    kitambulike na tcu kwani kinatoa shahada? Vyuo bora vya afya kwa ngazi ya diploma na certificate ni Kibaha,mtwara,sengerema,lugalo,mvumi,machame Hivyo ndivyo vyuo vikubwa na bora na vikongwe lakini hivi vingine vilivyoanzishwa sasa hivi vingi ni vya uchochoroni !
  4. S

    Naomba kufahamishwa Kuhusu City College of Health and Allied Sciences

    Hicho chuo kipo temeke sehemu moja inatwa bandari hiki chuo zamani ilikuwa pride sasa ni chuo ila kwa mazingira ya kusomea sijui
  5. S

    Jifunze English tenses kwa Kiswahili

    Najaribu.father! do I is your fist born Msinicheke jamani nimejalibu
  6. S

    Jifunze English tenses kwa Kiswahili

    Mkuu hapo kwenye normally akiweka usually haina makosa
  7. S

    Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

    Mh! ya kweli hayo mkuu
  8. S

    Ushauri kwa wadogo zangu form v 2014/15

    Mkuu lugalo hapo unasoma au unapiga kazi?
  9. S

    advance diploma in clinical medicine

    hapo ifakara wanatoa diploma ya clinical medicine
  10. S

    Kuhusu kujiuzulu kwa Prof. Nyamhumwa wa DIT kama alivyoahidi

    Na katika kiswahili kuna neno "kbs" na "ktk"
  11. S

    Kwanini kada nyingine unadharau walimu je ni sababu ya mshahara mdogo au ni nini...??

    mi naona kuwa msahara mdogo we angalia mwalimu mwenye shahada analipwa na anapitwa na daktari au injinia mwenye diploma!
  12. S

    Mada maalum: Mchakato wa udahili vyuo vya afya

    alafu naomba unitajie vyuo vizuri vya private mkuu.maana government ushindani mwingi maana mwaka jana nilikosa government!
  13. S

    Mada maalum: Mchakato wa udahili vyuo vya afya

    mkuu kama mtu ana div 4 point 26 lakini bios c chem c na phy d english d na math f anaweza omba diploma ya clinical medicine kwa vyuo vya private
  14. S

    Mada maalum: Mchakato wa udahili vyuo vya afya

    hata kama mtu ana div 4 lakini bios c chem c na phy d english d na math f anaweza omba diploma ya clinical medicine kwa vyuo vya private
  15. S

    Eti private HEALTH COLLEGE nako kuna ushindani naomba mnijuze?

    wakuu naomba mnijuze eti vyuo binafsi vya afya nako kuna ushindani wa kupata nafasi maana kuna mtu ana bios c chem c na phy d math f english d masomo mengine yote d anataka asome diploma ya clinical medicine je anaweza akachaguliwa maana sasa wanaomba kupitia nacte je anaweza pata nafasi katika...
Back
Top Bottom