kitambulike na tcu kwani kinatoa shahada?
Vyuo bora vya afya kwa ngazi ya diploma na certificate ni
Kibaha,mtwara,sengerema,lugalo,mvumi,machame
Hivyo ndivyo vyuo vikubwa na bora na vikongwe lakini hivi vingine vilivyoanzishwa sasa hivi vingi ni vya uchochoroni !
wakuu naomba mnijuze eti vyuo binafsi vya afya nako kuna ushindani wa kupata nafasi maana kuna mtu ana bios c chem c na phy d math f english d masomo mengine yote d anataka asome diploma ya clinical medicine je anaweza akachaguliwa maana sasa wanaomba kupitia nacte je anaweza pata nafasi katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.