Umeshawahi fika Dodoma, na baadhi ya Wilaya zake ndo ukaandika huu uzi? Kwamba Dodoma italimwa Mpunga, Tumbaku, Pamba?. Naomba Mungu anipe uzima nione haya yakitimia.
Hakuna kitu kilichofichwa. Ukisoma nyaraka za Paulo, Petro na Yohana utaona kuwa tangu Kanisa la karne ya kwanza, kuliibuka imani potofu za manabii wa uongo, wakitumia maneno 'roho ya mpinga Kristo'. Hivyo wakati wa kuandika biblia moja, au kukusanya vitabu hasa vile vya Agano la Kale, umakini...
Kweli Kabisa. Ukatoliki ulianza baada ya karne ya 15, kuwa Universal church. Kabla ya hapo yalikuwepi Makanisa yaliyokua ya mahali pamoja. Ila Wakatoliki wamelewa sifa kuwa ndilo Kanisa aliloacha Yesu pale alipomwambia Petro ''wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu''...
Kwa wasimaji wa Biblia, Mtume Paulo ameandika katika moja ya nyaraka kwa Wakorintho kuwa Shetani hujigeuza kuwa malaika wa nuru. Na jinsi nalivyo mjanja, anajua kuwa Wakatoliki hawasomi neno la Mungu, hivyo ni rahisi kuwadanganya. Na biblia inasema wazi kuwa unabii wowote ambao upo kinyume na...
Mwalimu C.Mwakasege ana mafundisho mengi kuhusu ndoto, na ameandika vitabu juu ya Ndoto. Tafuta kitabu chake usome, au ingia Youtube kufuatilia mafundisho yake.
Hujawahi fika mtaa wa Kongo. Na maeneo yote hayo ambayo kwa ujumla tunaita Kariakoo. Hungeandika ulichoandika. Pita miji yote hata pa kupita hakuna. Acha mbali hoja za msingi hapo juu kwenye mambo ya kodi
Damu gani? Yani waache kupigania ardhi yao wawachie Wafilisti? Never on earth. Jesuralem ni moja, mji mtakatifu wa Mungu. Na itaendelea kubaki hivyo. Tunasubiri kubomolewa kwa msikiti wa AL AQSA na kujenga tena HEKALU KAMA ILIVYOKUA AWALI.
Hoja yako ni ya msingi. Ukienda Kariakoo (na hata kwenye miji mingine) Machinga wanauza bidhaa ambazo ziko madukani. Mbaya zaidi wanapanga mbele ya maduka. Machinga halipi kodi, lakini mwenye frame analipa kodi ya pango, service levy na TRA wanamkadiria kodi mara tu anapofungua duka. Kwa namna...
Taasisi yoyote yenye maslahi ya umma inakua ni mali ya umma, bila kujali kwamba haipokei ruzuku Serikalini. Ni kama ilivyo TFF, ni taasisi ya umma, japo inajiendesha yenyewe, lakini kwa kutumia viingilio vya michezo, pamoja na ruzuku tofa FIFA.
Kwa muktadha huo, TLS ni taasisi ya umma, japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.