Hawa watu wasiendelee kutugonisha vichwa wananchi hili dubwana la muungano lina faida kwa nani?mpaka mukope kwa jina la Tanzania si muondoshe tuu hayo masuala ya nchi za nje na ikishindikana uondoweni muungano hata kama kimyakimya. Hii ni kero ya ngapi sijui itakua inayoongezeka, sisi waznz...
Huyu jamaa ni mnafiki mimi ninatoka pemba pale jadida anapotoka makamo mwenyekit wa chadema znz halafu unasema chadema hawaipendi znz? Tunawaomba chadema wazidishe nguvu bungeni kuitetea znz, nimeshuhudia mara nyingi wanavoitetea znz wakiwa bungeni kuliko wabunge wetu wa cuf.
Ni bora usiongee ivi vitu usivovijua na nimeshawachukulia kama wadad 3 wamejifungua vizuri tuu, hakuna kifafa cha mimba, hakuna kuvimba miguu, wala hakuna hata kutapika
Nimeshuhudia Madr. Wengi sasa elimu yao wanaiweka upande na kuingia kwenye bishara hii ya kufanyia uperation wajawazito, operation huwa inafanyika kwa malipo makubwa kiasi cha laki6 kila mgonjwa. Ivi tuseme hawa maDr wameshindwa kabisa kutoa tiba na sasa wameamua kufanya biashara? Niliwahi...
Hawa watu walikua sio majambazi wala chochote ispokua walikua wanataka wafikishe ujumbe kwa uyu mama kama walivoagizwa kuwa mtoto wake ana maadui ndani ya chama chake. Hizi ni mbinu za aina nyengine anazozitumia mwigilu kuimaliza chadema kisiasa.
Apa kuna kitu kinatengenezwa na ccm cha kuwagombanisha zito na uongozi wa juu wa chadema. Mwigilu mtu mbaya sana tangu nilisikie jina hili mashikioni kwangu Tanzania hapakaliki.
Kiwanja chenye foundation ya pande mbili kila upande una vyumba 3, choo,jiko, sitting room kina ukubwa mita 16 kwa 21. Kipo mbande mtaa wa kisewe Kata ya chamanzi. Ukitoka sokoni kwa miguu ni 10min. Kipo mtaani kabisa kwenye kona, tambalale gari inafika.
Bei ni milioni 12.
Wasiliana na...
Hakuna mtu yoyote anaeondoka hapa Tz bila ya visa na sheria zote, kama anakwenda Uarabuni au ulaya na wala hakuna magendo inayofanywa, njia zote zinazototumika ni kama hii unayotaka kuwafanyia wewe ilimradi mtu atoe chochote na hii ndio hapa kwetu inayosemwa kuuwa ni kuuza binadamu wenzako kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.