Nilikuwa nataka nikujibu kuhusu huu utumbo wako ulioandika nikadhani unamzungumzia NEHEMIA MCHECHU one of very young CEO whose brain ni so bright....kumbe unamzungumzia MSECHU....basi wanaomjua watakuja kumtetea kama at all an exist.
Mimi nasema WAPIGWE TUUU...kwenye maandamano haya wakindaman Waislamu na wakipigwa Virungu MICHADEMA yoote humu inashngilia. Sasa zamu yao. PIGA HAOOOO mpaka watakapokuwa na adabu.
We jamaa fix sana...sisi hapa Kwa Sahani..Sega mpaka Kicheba tuko bize na Ng'ongo maana msimu unakwisha huu..nani lwemye haja na mikutano yenu ya siasa.
Kwemwale...now at Mto Mkulumuzi kuelekea Mbaramo from Misozwe....
Joka kuu...it is more than MAKSI kama kigezo cha kumbeba mwanafunzi. Kwani umesahau ile kauli mbiu ya "Waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza"..sasa hapa kwenye uchaguzi ndipo mbeleko hutumika. Hii mbona ni maarufu sana..watoto wa walimu wakuu, wenyeviti wa serikali za mitaa, watoto wa...
Mkuu Jokakuu..hata mimi pia nilifanya mtihani kwa namba mwaka 1989, kinachozungumzwa alicho kifanya the late Prof. Malima nikutumia utaratibu uleule wa namba mpaka kuchagua wanafunzi. Best practise ilikuwa wanafunzi wakishafanya mtihani tu..namba zao zinaunganishwa na majina ndipo selection...
Mkuu Philemon!
Alichokifanya Malima nikuhakikisha utaratibu ule ule wa kufanya mtihani kwa namba ndio utumike kwenye kuchagua watahiniwa kujiunga na kidato cha kwanza. Ilivyokuwa ikitumika..nikuwa wanafunzi wakishafanya mtihani kwa namba..matokeo yake yanawekwa majina na ndipo selection...
Mimi kanichosha pale alipoomba muongozo kwa Jaji....Mh! huyu jamaa yai lake halieleweki vizuri na kwa interest ya public (muongo mkubwa...lugha gonga gonga)..naomba kwa heshima na taadhima Masando atumie Kiswahili......nyooooooooooo!,
Na hii CCM wameshaipata..akianza kuropoka tu bungeni Madam...
Wakuu habari za jioni.
Aljzeera Sports chnnels zile za mipira hazipatikani. Nimeelezw kuwa jamaa wamebailisa frequencies. Naomba mwenye kuweza kug'amua hii kitu anijuze.
Naona unabadilisha santuri sasa. Kama CDM ni zaidi ya Kigoma..mbona Babu alitia timu kule mara tu baada ya kumvua Zitto vyeo. Alitaka apime upepo au? Mimi nadhani huezi kuandika historia ya mapambano ya upinzani na CDM bila kuihusisha Kigoma.
Kwemwale.
hivi ww unanafasi gani cdm mpaka ukatoa hukumu hiyo. Amakweli kuishi mjini kazi kweli unataka kujibaragua kwa kuzungumza kwa niaba ya chama. Kamtafute baba yako mzazi kwanza.
mkuu kabembe mzee rehani hana binti mwengine aliyeolewa na pinda zaidi ya huyu tunu ambaye alipata elimu ya kutosha ya madrasa kabla ya kuonana na mh pinda na kuritadi.
Wewe Mungi badiliko gani ulilolionyesha hata kwenye ngazi ya kijiji. You are nothing..wewe kwa Zitto ni Kichuguu tuu...nje ya JF hakuna anayekujua. JF yenyewe wafuatiliaji wake hata watu laki mbili hawafiki. Usijifananishe hata kidogo na Zitto.acha husda, chuki na ufitini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.