Kila k2 n mpango wa MUNGU ktk dunia hii kama una kufa na cio mpango wa MUNGU bac hakuna MUNGU! Maana yy n yote ktk yote np pia MUNGU habatilish mpango wake na kla nafs itaonja umaut Na MUNGU AWAPE NGUVU YA UVUMILVU WAFIWA KTK KPND HK CHA MAJONZ pia ROHO ZA MAREHEM ZILAZWE MAHARA PEMA PEPON AMEN!
Duh kaka unachoongea n kwel tulipotea lkn miaka yote gerrad huwa n namba 8/10 kama unakumbuka kipnd cha mascherano6,alonso8 na gerrad 10 hafu torres 9 ila mbadala wa leiva n ALEN ndo atacheza 6 kaka au ww unaonaje?
Kwan mwaka wa juz smlimaliza msim bila kombe lolote!Mseme hampend 2 moyes maana matokeo mabovu kabisa yameangukia kwake pia mkumbuke baada ya fagason kumtangaza mlmpokea kwa mbwembwe sana mpen muda atafanya vizur 2 kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.