Search results

  1. W

    Mbowe atoa tamko: CHADEMA kuisimamisha nchi Machi 25, 2013

    Jaman huyo kawambwa hajaondoka tu yupo bado? Muambieni hataamini nguvu ya uma itakapo mtaka kung'atuka ndani ya 2HRS
  2. W

    Jembe litakalogombea ubunge kwa tiketi ya chadema wilaya ya lushoto tanga 2015

    Kaka mtoi watu wakomae sana kakaa na nimekusaka kwa mda mrefu sana brother mana ninataarifa zako za utendaji bora. Amini msiamini chama la Arusha litatia timu lushoto kuhakikisha tunafanya mabadiliko. Mtoi kaka nirushie no yako kwenye 0784 523679.
  3. W

    Kibanda afanyiwa upasuaji, atolewa jicho moja!

    Mungu amsaidie kibanda apone haraka ila serikali iwe makini sana na uchunguzi wao ambao mara nyingi hatuoni matunda yake. Ipo siku wananchi watapoteza imani na jeshi la polisi na serikali yao, nini kitatokea >>>mimi na wewe msomaji wangu hatujui
  4. W

    Jembe litakalogombea ubunge kwa tiketi ya chadema wilaya ya lushoto tanga 2015

    Wana jf kunajamaa mmoja anaitwa bernard adam(mzaliwa wa irente mhelo lushoto) amezaliwa lushoto na kusoma lushoto. Kwa sasa anasoma masters of education chuo kikuu cha tumaini makumira mkoani arusha. Alishawahi kuwa 1.waziri wa elimu wa chuo hicho 2010/2011 2.rais wa chuo hicho...
  5. W

    zoom@Tz NIMEWAKUBALI

    Kila kitu kina muda wake, ni vyema wakati mwingine kuwa mtulivu.
  6. W

    Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi aaaamen
  7. W

    Mh Freeman Mbowe ktk uzinduzi wa kanda ya kaskazini

    Amezindua kanda ya kaskazini ya chama au ya nini? Naomba ufafanuzi jamani
  8. W

    Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

    jamani kunataarifa zisizo rasmii kwamba kunapadri evarist mushi amepigwa risasi mwenye taarifa kamili atupatie tafadhali
Back
Top Bottom