Kuna tetesi kuwa meli ya mv Victoria ikiwa inatokea Bukoba kuelekea Mwanza haijafika mpaka sasa hivi.
Ratiba ya meli hiyo ni kwamba huwa inatoka Bukoba siku ya Ijumaa saa tatu usiku na inafika Mwanza siku ya Jumamosi saa kumi na mbili asubuhi ila mpaka sasa hivi ni kwamba haijafika Mwanza tokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.