Kuna rafiki yang kachaguliwa "bachelor of education in commerce&accountancy" pale mzumbe Lkn hajaipenda alikuwa anataka "bachelor of accounting in business sector",kuna uwezekano wa kubadil na akibadil mkopo so anaweza akapunjwa au? .Nawasilisha wana JF.
Timu za ligi ya EPL arsenal na man city zilikuwa katika kiwango kibovu kiasi kwamba hawana ushindani wanapokutana na vigogo wa la liga na bundesliga,ndo maana hata kwenye FIFPRO 11 hakuna hata mchezaji mmoja kutoka ligi hiyo kweli wajipange sana kushindana sio kupaki basi,sijui kama kuna timu...
Barcelonno imeonekana imekosa sera mpya ndo maana wanafungwa na Real Madrid ambayo inaelekea kufuta uteja toka kwa mahasimu wao kwani wameonekana wanamtagemea sana lionel messi ambaye akikabwa vilivyo hatambi mfano walivyo fungwa 2-1 jana walikuwa hawana jipya na wanakosa plan B ya...
kwanza kabisa ningependa kuwajulia hali wanajamii wote na tumaini ni wazima,matokeo ya kidato cha nne kama yaliyotangazwa na waziri wa elimu hayakuwa mazuri hicho ndicho vijana wetu walichokivuna wasisingizie wamefelishwa wanaacha kusoma kutwa kukesha kwe wapowanaoingia kwenye mitandao na kuchat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.