Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, hakuna mtu alieshikilia bango ufisadi kwa nguvu zote zaidi ya Dr Slaa.
Kwa kua Rais wetu ajae Dr Magufuli kasema anataka mawaziri wachapa kazi kama yeye, basi si vibaya akamvuta Dr Slaa kwenye baraza lake ili aongeze nguvu
Dr Slaa ni zaidi ya alivyokua Mrema enzi...
Kaondoka Chris Lukosi - Mwenyekiti Chadema UK
Kaondoka Zitto - Naibu Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Dr Dr. Wilbroad Slaa - Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Said Arfi - Makamu Mwenyekiti Chadema
Kaondoka Prof Kitila Mkumbo
Kaondoka Mzee Wasira
Na wengine weeengi walioshika nafasi za juu ndani ya...
Ndugu zanguni
Siku hizi kumekua na chuki zikienezwa kati ya wanachama wa CCM na wale wa upinzani/ukawa. Hili sio jambo jema na ni lazima tulikemee
Tanzania ni nchi yetu na sisi sote ni ya kwetu, tusikubali kutumiwa na hawa mafisadi wanaotaka kuchukua dola ili wajitajirishe wao na familia zao...
Ndugu zanguni
Nimefuatilia kwa karibu sana watu walioko nyuma ya Lowassa na nimegundua kua wote wako kimaslahi tu, hakuna mwenye mapenzi na nchi yetu hata kidogo
Tusikubali watu waje kugawana vitalu vya ges na mafuta yetu kama njugu. Hawa watu ni hatari kuliko ebola
Tushtuke watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.