1) Vigogo.....hawawezi tena kuhonga magari, Nyumba na kusomesha vibinti vya chuo kwa sababu posho marupurupu na safari hamna.
2) Wafanyakazi wa kati......hawatabadilisha vigari wala kuhonga Samsung au iPhone kwa vibinti vya chuo kwa sababu hakuna madokezo na wanalazimika kujibana kamshahara...
A CONDOM said to PAD, Mshenzi wewe!!!! every month you stop my business for about a week. PAD replied Wewe ndiyo mshenzi mkubwa!!!!!if you make one mistake I will lose my job for 9 months
Mzungu: Hi bro, I need $100, wil pay u back on Monday.
Mswahili: Kaka vipi, shwari? Dah hatuonani mzee, vipi mishe, mnatunyima nini, juzi nimekuona kwa mbali shavu dodo full kipupwe, siye tupo bwana, shida tu, halafu misiba mingi tu,wife nae kajifungua ghafla, sasa kuna cheque naisubiri...
Energy Drinks Contain Ingredient Extracted From Bull Urine And Semen. A study done by Longhorn Cattle Company, tested some of the top energy drink brands such as Red Bull, monster etc. What they found might leave your stomach in a knot. They found that the drinks do, in fact, contain bull semen...
1. Huna muda wa kushinda na mpenzi wako kutwa nzima mkipiga stori za mapenzi
2. Ukihitaji kufanya mapenzi mahali unakokufikiria ni kitandani
3. Unaanza kujaza friji lako kwa vyakula zaidi kuliko pombe
4. Muziki unaoupenda unausikia ukiwa kwenye lifti ama kwenye gari lako ukienda na kutoka...
No english dictionary has been able to explain the difference between the two words,"complete and finished".
Some people say there is no difference between complete and finished, but there is: when you marry the right woman, you are complete, and when you marry the wrong woman, you are...
Katika kusherehekea miaka 10 ya ndoa yao, Salma aliamua kumpeleka mumewe John kwenye 'strip' club mpya iliyofunguliwa miezi mitatu tu iliyopita.
Sababu kubwa iliyomfanya aamue kumpeleka mumewe kwenye club hiyo iliyojaa machangudoa, ni ushawishi wa marafiki zake wa kazini ambao (wote watatu)...
Watu wawili, mwanamke na mwanamme walikwenda kwa daktari mtaalamu wa mambo ya uzazi. Daktari akawauliza, "Ninaweza kuwasaidia nini?" Mwanaume akamwambia, "Tafadhali daktari unaweza kututazama tukifanya mapenzi ili uweze kufahamu tatizo letu?" Daktari akashangaa.
Hata hivyo akakubali...
Kulikuwa na mashindano kwa familia zenye watoto kumi (10), mshindi alitakiwa apate zawadi ya sh million moja. Jamaa mmoja alikuwa na watoto 9 nyumbani akamwambia mkewe,samahani mke wangu nilifanya kosa kuzaa nje ya ndoa subiri nikamlete huyo mtoto niliyezaa nje ili watimie 10 tushinde hii...
Teacher asked! You know the importance of the period?
Kid said!Yeah , once my sister said she missed one!, my mum fainted, Dad got heart attack and our driver disappeared
Kuna wanandoa walikubaliana kuwa, wakiwa pamoja na watoto au watu wengine, na wakataka kwenda kupeana ULODA chumbani waseme wanataka kwenda KUPIGA SIMU
Basi siku moja baba akawa na hamu akamtuma mtoto kwa mama yake kwamba kamwambie mama yako nataka kupiga simu. Yule mtoto akaenda hadi kwa mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.