Inawezekana huja update simu yako,Mimi nilitumia iphone 12 pro max dual line,niliweka Voda na tigo na zote zilikuwa zinasoma 5G nikiwa maeneo ya postal,masaki na mlimani city.Vodacom inasoma 5G maeneo mengi sana ukilinganisha na tigo Hadi mitaa ya tabata unapata 5G kwenye Voda.Nahisi simu yako...
Kama ndivyo Bora kukimbilia smile Wana true unlimited ya 185,000/= unakuwa na router yako unaendanayo popote na unatumia vyovyote utakavyo.Gharama Iko juu kidogo ila ni bora kuliko hio ya voda yakuwa fixed sehemu moja
Naomba kujua hii router naweza kumove nayo kutoka home kwenda nayo ofisini? Ama Niya sehemu Moja TU kama ni home ni home kama ni ofisini ni ofisini TU.
Pole mkuu kama ni kweli basi kutakuwa na changamoto upande wa utumishi huenda wameelemewa ama Kuna sehemu hapako SAWA
i.e Kuna bypass somewhere maana juzi nimeona watu wakilala kuhusu tangazo la kuitwa kwenye usaili mzumbe baada ya usaili kufanyika Yani usaili umefanyika 27/08/2022 na tangazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.