Stand ya Magufuli kwa ovyo kabisa, miundo mbinu yake haijazingatia hali za makundi mbalimbali na ni gharama kubwa kuanzia safari katika stand ya Magufuli, mfano ukishushwa stand ya dalala mbezi kama una mzee ambaye hawezi kupita kwenye kivuko cha kuingia stand utalazimika kuilipa bajiji shilingi...
Kwa maoni yangu kama Raisi Samia Suluhu Hassani akiwezesha mabadiliko na kuwezesha kupatikana kwa Katiba mwafaka, kuna uwezekano mkubwa mama huyu akapata nafasi tena ya kuliongoza taifa kwa miaka mitano zaidi. Hii itatokea kwa kuwa wananchi watakuwa na imani naye kwamba ameweza kuliepusha taifa...
Umezungumza maneno, naamini wewe ni miongoni mwa wahafidhina wa CCM. Kwa mtazamo wangu ni kuwa ikiwa huyu Raisi (Mama) atafanikiwa kuwezesha uwepo wa katiba inayohitajika kwa sasa katika nchi hii, basi anastahili sifa na utukufu wa kilimwengu.Na hapo ndio mawazo yangu yaninielekeza kuwashawishi...
Alipo teuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM alisema hadharani kuwa cheo hicho ni cha juu sana kwake na kwamba hawezi tena kukubali cheo kingine cha kuteuliwa kwa maana kuwa vitakuwa vidogo. imekuwaje leo anashukuru kwa kuteuliwa kuwa mbunge kacheo ambako ni kadogo sana?. usitukane wakunga uzazi...
Wewe acha hizo, safari hii wataalamu wa hesabu wamechambua idadi ya wapiga kura 2020 na wamesema kwa mujibu wa takwimu za tume ya uchaguzi inaonekana 100% ya watu wenye sifa za kupiga kura wamejiandikisha. Hii imeonesha kwa zoezi la uandikishwaji wapiga kura tumevunja record tangu uhuru, kwamba...
Mke wangu analala nje bila taarifa yoyote, halafu hataki aulizwe kwa nini imekuwa hivi kutomtandika na kumfukuza kabisa ni ujinga mkubwa sana. Uchebe mwanaume wa ajabu sana katika uvumilivu yaani mpaka amepitilizaaa. Hata katika vitabu vya imani kitendo anacho fanya shilole hukumu yake ni...
Kuna wengine wanamiliki laini mbili kwenye mtandao mmoja kwa matumizi tofauti kwa mfano moja iko kwa modem kwa ajili ya internet na nyingine kwenye simu kwa matumizi ya kawaida. Watafungwa wengi kwa kuwaonea tu. Lakini tujiulize kuna madhara gani kwa mtu kumiliki zaidi ya laini moja kwenye...
Lakini Kenya inawapenda Watanzania, fikiria kipindi cha vita baina ya Tanzania na Uganda kama kenya isingechepusha wale askari wa kukodiwa kutoka Libya kwenda kusaidiana na Uganga kuua watanzania hali ingekuwaje. Kama hizi taarifa ni za kweli basi Tanzania ijitafakari.
Kuoa nako ni mapenzi ya Mungu, unaweza kushauri mtu aowe baada ya kuona muda unaelekea jioni lakini muhimu ni kujua kwa nini kijana huyu haoi wakati jioni yake inakaribia. inawezekana ushauri wako ukawa hauna maana kwa kuwa inawezekana kijana mwenyewe pengine sio riziki.
Nimeona kama halmashauri kuu itapendekeza kwa kamati kuu kisha kamati kuu itateua matatu, halafu tunaletewa sisi wajumbe wa jimbo tunafanya yetu na baada ya hapo yanaenda halmashauri kuu sijui ndio mwisho hapo wa uteuzi au yatafika tena kwa kamati kuu kabla hajaletwa mteule kwa umma?, au...
Mimi sijayaelewa haya maamuzi au kwa kuwa mimi si mtaaluma, kwa hiyo inamaana baada ya mwaka mmoja anaruhusiwa kuandika au kutuo maneno ya uchochezi? Msaada tafadhali.
Wapinzani wanajisahau wakati mwingine, hakuna mwanasiasa ambaye amefanya siasa akiwa ccm anayeweza kumudu kufanya siasa akiwa upinzani.Hii na maanisha kwamba ni rahisi kufanya siasa ukiwa ccm tangu mfumo wa vyama vingi urejee hapa nchini kwa kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.