Mkimbize huyo mwanamke asikutesee watoto, watoto wako wanapohuzunika hata mama yao huko aliko anakuwa hana furaha na wewe na iyo inaweza kupelekea mambo yako yakawa yanaharibika. Kama kweli ulimpenda huyo mkeo wa awali...achana na huyo mwanamke.
dada sophia aliwahi kusema humu ndani kuwa digrii haitunzi mume na kwa mujibu wake yeye aliwahi kuudhuria mahafali ya rafiki yake akaona izo digrii zinavikwa kichwanii.....kweli hainaga digriii!!
Mwambie,
Kuwa mwoga ni aibu, tena ni aibu kubwa ila waoga usimama vifua wazi mbele ya nyumba zao wakionyesha makaburi ya hao walioitwa mashujaa...Akili kumkichwa, jifanye shujaa utukusanye tuje tukuimbie wakati tunakupeleka makaburini au uwe mwoga jioni urudi nyumbani kwako salama huku umebeba...
Waheshimu baba yako na mama yako ili upate miaka mingi ya kuishi....Katika Mithali zake mfalme Suleimani kuna shm anasema mwanangu sikiliza wosia wangu....achana na hao wachaga na pia jaribu sana kusikiliza wosia wa wazazi wako, mara nyingi wazazi uwa hawakosei. Mi nilikatazwa kuoa mchaga...
Ivi kwa nini vijana wa siku izi hamjiamini?? Eti ni mrembo sana so what?? me tangu mdogo mama aliniaminisha kuwa vitu vizuri vimetengenezwa au kuumbwa kwa ajili yangu basi nikawa naelewa ivyo...wanaofaulu vizuri darasani nimo, mademu wazuri niling'oa mimi, magari mazuri nikanunua mimi na mpk...
Okey!! Basi wanaume watafanya kazi zoooote ulizosema hapo kuwa wanatakiwa wazifanye......nauliza baada ya wanaume kufanya hizo kazi zoooteeee, usaidizi wa mwanamke utakuwa ni nini????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.