Search results

  1. K

    Tamko la Rostam Aziz dhidi ya Reginald Mengi na yatokanayo. Amuita fisadi Nyangumi

    Hata Bungeni haongei. Naambiwa akiongea anaweka kidole mdomoni kwa aibu!
  2. K

    Jedwali la RA: Nani hayumo?

    Tena Mkuu, Msekwa akawa Spika wa kwanza katika Jumuiya ya Madola kukubali kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya VODACOM bila kujali nafasi yake kama mkuu wa mhimili. Disgusting!
  3. K

    DPP wa Tanzania: Ni Kihiyo wa Sheria, Msanii au Mbabaishaji?

    Nimeshitushwa na kauli za mara kwa mara za DPP wetu kuhusu ugumu wa kuishitaki kampuni ya KAGODA. Nimeshitushwa zaidi na matamshi yake yaliyonukuliwa na gazeti la Tanzania Daima la Jumapili, Aprili 12, 2009 kuwa: wamiliki wa KAGODA watafunguliwa mashitaka ikiwa itathibitika kuwa kampuni hiyo...
  4. K

    Habari za afya ya Dr. Harrison Mwakyembe

    Hatuko fair kumlinganisha Mwakyembe na Rostam. Mwakyembe anabebwa tu na baadhi ya vyombo vya habari kutokana na mvuto wake kama msomi na mwanasiasa. Rostam ni mmiliki mkubwa kupita wote wa vyombo vya habari Tanzania: ana miliki magazeti ya Mtanzania, RAI, Dimba, the African, TAZAMA, Mwananchi...
Back
Top Bottom