Inawezekana mkuu, kwa maana ukicheki hapo matokeo ya kwanza na ya pili, inaonekana tayari una credits tatu( yaani ufaulu wa daraja C)
na ili mtu aweze kusoma na kujisajili kama private candidate ktk advanced level anapaswa kuwa na ufaulu wa daraja C kwa masomo matatu! kwa ufaulu wako unaweza...
Kwa ufaulu huo kwa nn asiendelee na kidato cha sita kwa mfumo wa kujitegemea!? mana naona ana sifa zote za kuendelea na masomo kama private candidate kwa mwaka mmoja tu, ambapo mwaka kesho anafanya mtihan wa taifa vizuri kabisa! kama utaona hili wazo ni zuri naomba tuwasiliane 0679168264
Kwa ufaulu huo kwa nn asiendelee na kidato cha sita kwa mfumo wa kujitegemea!? mana naona ana sifa zote za kuendelea na masomo kama private candidate kwa mwaka mmoja tu, ambapo mwaka kesho anafanya mtihan wa taifa vizuri kabisa! kama utaona hili wazo ni zuri naomba tuwasiliane 0679168264
Anayerudia mtihani hawezi akarudia masomo yote saba au nane ili kuweza kupangiwa division! mara nyingi unakuta anarudia masomo matano kushuka chini
sasa ktk mazingira hayo, huwezi kupewa division
Kisheria hairuhusiwi mtu aliyefaulu kidato cha pili, akatumia matokeo hayo kufanyia mtihani wa QT
Iko hivi, ili ufanye mtihan wa QT form four lazima uwe na namba ya mtihani wa QT ulofanya huku ukiwa umefaulu, au uwe na unarudia mtihan wa form four baada ya kuwa umeufanya hapo nyuma...
mapema kbs wameliamsha dude..... [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
game yenyewe imeisha kwa kupigwa huo msumari mmoja wa makalio[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.