Mkuu mbinu yako ni nzuri ila inafaa sana iwapo wezi ni vilaza na pili kwa mji mdogo wenye mafundi wachache, coz kama ni hapa Dar kuipata ilibidi ukatambike kwanza na bado usingeipata ila ungebaki na tumaini la kusema ipo siku ntaibabatiza tu.
Cyruss nadhan ww umeikurupukia mada husika by the way inaonesha hata pahala penyewe hupafaham vema lkn zaidi ni kwamba hata biashara yenyewe hujui taratibu zake. Kama ungekuwepo eneo la tukio na kuiona situation iliyokuwepo usingethubutu kuchangia mada hii kama ulivyoeleza hapa.
Hakuna la ziada ni kwamba Dunia imeisha isha mda mrefu. Hata kama ndo ny****e hizo ni too much lkn hata hivyo hizo nye***e nadhani hazipozwi kwa mtu kwenda kujiuza sidhani kwa kweli! dada anatakiwa aombewe maana si bure!
takwimu hizo zipo kila siku maana kila siku watoto wanazaliwa, isipokuwa huwa zinatangazwa kwa sababu tu ya umuhimu wa siku zenyewe na si vinginevyo. huo ni mtazamo wangu.
Gwangambo uko sahihi nilikumbuka kufanya hivyo baada ya kuondoka lile eneo maana hiyo hoja ilipamba moto nilipokuwa nimeondoka na kuingia uchumi supermarket of course nadhan ningeyapata mengi!
Hivi hawa jamaa wanamalengo gani na maisha ya watanzania? Siku ya x-mas mida ya saa tisa nilikuwa maeneo ya Quality Centre ndani ya duka moja linalouzwa vipodozi na marashi (perfums). nilipoingia nilimkuta mchina mmoja anajaribisha kwa kujipulizia karibia kila perfum aliyokuwa anaiona akafuta...
Mwnyewe nimejaribu leo mpaka simu imeisha chaji simu inaita tuu bila kupokelewa hawa nao wameanza taratibu, mwishowe watakuwa hawana tofauti na hao wa mabasi!
Msese kwangu mimi hiyo ndo namba moja kama ni gemu nataka kumuonyesha mygal basi hapo huwa mpaka anaomba pooo mwenyewe yaaani hiyo mwenye shida namana ya kuipraktise anicheki ntamuelewesha kwa vizuri. epukana na dawa zinaweza kukufanya ukawa tegemezi kwa kunywa dawa then na akili itajityuni kuwa...
wenda wazimu tu hao ningekuwa waziri wa nidhamu wote ningewatupa ndani!! huwa hazidondoki baada ya kufanya utafiti nimegundua kuwa huwa wanafunga na waya kwa ndani toka pale zipu inapoanzia then hadi kwenye korodani, means pale ukimvuta kwenda chini basi lzm atoe kilio cha nguvu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.