I'm afraid that's not possible. You should have android compatible device otherwise you can't do it
If the device came with different OS then it might not support android
Hi everyone
Jamani kuna software natafuta license ya magumashi nimetumia takriban the whole day with no success
Sasa nisaidieni known weblinks ninazoweza search na kupata nulled software
Pirates is illigal but this is bongo, $60 is damn expensive. Please help out
Huu mmea unaitwaje kwa kiswahili? Maana picha yake inafanana na mimea mingine ni ngumu kuutambua vizuri
Kama unajua watu wa tiba mbadala wanaoweza kuwa nao help me out, pia how do we call it in swahili
Yah, tunaweka matunda kwenye maji moto kabla ya kuyamenya, na najitahidi kutumia vyombo vikavu (yaani vilivyooshwa muda mrefu na kukauka na kufutwa)
Kupima baada ya miezi sita na mimi nimeambiwa hivyo, lakini tatizo napata dalili za typhoid kabla ya miezi sita na hivyo inabidi kupima na...
Malaria unayopata isiyopona ninayo mimi pia, lakini uchunguzi niliofanya unaoonyesha ni malaria inayotokana na uwepo wa typhoid fever
Malaria haiponi kama kuna typhoid mwilini, mimi iko hivyo hivyo na hapa nilipo natafuta dawa ya kutibu typhoid hasa anayejua dawa ya kienyeji naomba sana...
Jamani naumwa typhoid inaoonyesha dalili za kuwa sugu, maana natibu kikamilifu lakini baada ya miezi mitatu naumwa tena na nikipima nakuta typhoid ipo positive
Nahakikisha nakunywa maji yaliyochemshwa, chakula cha moto, na mpaka maji ya kuoga na kupigia mswaki naweka waterguard lakini bado...
Ninayo samsung galaxy Y pro duos B5512
With android 2.2
WiFi, mini hotspot and many features (google to see all specs)
Used for 2 months
My price is only 200,000
Call me on 0767659145, 0787659145
Email: alphonce@alphonce.net
Well, lazima itakua huna cd drive kwenye hiyo laptop, ndio maana ukaeleza mambo ya kutoa hard drive ku install kwenye computer nyingine
Sasa kwanza fahamu kitu kimoja, kama umetoa disk ukaenda install kwenye computer nyingine itaweza kufanya kazi tu ikiwa firmware specs zinaendana kati ya...
Wasiliana nami, nina toshiba satellite with following specs
Disk 500gb
Mrmory (ram) 3GB
Processor intel 2.0 duo core
15inch LCD
Dvd writer
WiFi
Niko mwanza pia
Call me on 0767659145, 0787659145
Email: alphonce@alphonce.net
Unaweza install android kwenye compatible device. Hivyo be sure that you have compatible device first.
In most cases compatible devives comes with android already installed from manufactures
Kuna namna ya kujifunza sql server nyumbani kwako kwa muda unaotaka, na utaelewa vizuri kiliko namna yoyote nyingine ya kujifunza
Visit www.alphonce.net | ICT Video training courses
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.