Aah mbona simple sana mkuu, fanya hivi... nenda home kwa dem si unapajua wanapoishi baada ya ndoa? Subiri mida flani ya jioni hivi zama home kwao afu unamwambia dem asaule kabisa nawe saula mazee mnapiga brush kimtindo, halafu mkisikia gari ya mume inakuja mwambie dem ashuke kitandani akamate...
siamini na utafiti huu wa huyo dokta uchwara wa kitanganyika.
sikatai zanzibar kama kuna mashoga lakini kusema ndio sehemu inayoongoza kwa mashoga hapa Tanzania sikweli tena sikweli.
Jamani kuweni wa kweli mbona hamuwi wa kweli kila kitu mnasukumwa na dini najua uyo dokta ansumbuliwa na...
Mh! Yaani nimejiuliza maswali kibao bila jibu la msingi.
Labda alikuwa na jinsia 2 sasa hiyo ya kike ndio iko active! Au labda wamepata watoto wote wa kiume wanataka wa kike... ha ha ha... kwa kifupi sielewi. Hawa watu ni watata...!
Kwa kweli issue imefika mahali pake...wanajamii tuipigie debe huyu anayejiita mkubwa aadabishwe. Issue za mfuko wa Bima ya Afya imekuwa ni wimbo kwa walimu na walala hoi. Vimshahara vyenyewe vya kubeep halafu vinakatwa kila mwezi kwa geresha kuwa watapata huduma bora za afya. Kila siku wakienda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.