Hongera Mbunge Mbowe kwa kuthamini kazi ya wananchi. Usiishie kutoa huo msaada tu lakini kama kiongozi hakikisha hiyo shule inakamilika kwa kuisimamia ipasavyo
Hebu tuwekee picha ya jinsi mkutano wa Pinda ulivyokuwa basi. Na huo mkutano wa Wenje na Munishi kama anavyodai SCOLARI ulikuaje? Nini kilijiri. Hebu shuhudia
Wakristu wanapaswa kuwa wavumilivu kwani wakijaribu kuinua mikono yao basi hatuna tena Tanzania.
Mtoa taarifa ebu tuambie jina la hilo kanisa na ni dhehebu gani?
Inasikitisha sana. Nimemuona mkuu wa mkoa wa pwani akivunja mkutano huo na kuamuru viongozi wa ccm mkoa kutafuta ukumbi mwingine na sio ofisini kwake tena.
CCM bila rushwa haiwezekani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.