Hii picha ina maswali mengi sana ambayo hayatakuwa na majibu hata siku moja, hizo nondo ni kutoka sehemu gani ya hilo jengo, maana slab inaonesha nondo zake bado zipo. Si vizuri kuchafua jina la mtu kwa sababu zako mwenyewe Great thinker!
Hawa ni wahuni tu, Nepi hakukosea, kwani
i. Hawawezi kujitokeza hadharani na kuyasema hayo
ii. Hawana uwezo wa kusema hadharani, Mwenyekiti mbadala wamtakae ni nani
waache wafu wazikane
Mtengeti unachokiongea ni uzushi mtupi! anachokueleza kinauche ni kweli kabisa, hakukuwa na zomea unayoisema. Prof alishuka baada ya kuelezea vizuri kabisa sababu za maji kutokuwepo, pia na mikakati iliyopo,ukosefu wa walimu na tatizo la mradi wa umeme na ndiyo rais akaipigia mistari. Tatizo...
Lakini hiyo ni kawaida yetu sisi watanzania, mara nyingi vitu vingi tunavijua lakini tupo slow sana kwenye kufukiri, tofauti na wenzetu wa Kenya na Uganda
Kama wakati wa ripoti ya uchunguzi wa Richmond, Mhe aliweza kuficha baadhi ya mambo ili kunusuru nchi, ni vipi katika ripoti hii ataweza kutoa ukweli wote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.