Ndugu zangu salaam.
Jina la mji kwa kiarabu inamaana "Nyumba ya
Amani". Dar es Salaam kuna kwa wakati mmoja
alitwa Mzizima. Mwenye ufahamu wa jina hili liliwekwa sababu gani haswa?
Source: wikipedia.
Naitwa Prisca mwenyeji wa mkoa wa Arusha,
napenda nishuhudie kitu ambacho kimetokea
maishani mwangu hadi kupelekea kuokoka.
mwaka
2010,
kwa sababu ya kutafuta maisha nilikwenda
zanzibar kuishi huko na nilipata chumba cha
kupanga maeneo ya airport na niliishi vizuri tu na
majirani...
Nilitaka kujua kuhusu vitabu vya walimu vya kufundishia, kila mwalimu anaagiza
mwandishi wake wa kitabu kiasi kwamba inatuchosha wazazi, mtoto aliyesoma mwaka jana na kitabu mf. hesabu mwaka huu hawezi kutumia mdogo wake mwaka mwingine. Tunachoshwa na hizo gharama mara mbili kulundika vitabu...
picha sina ila ni D220 Benz si jui ni la yule mzee wa njiro au maana limekuwa majivu kabisa siyo rahisi kulitambua ila imebakia ile nembo ya D220 kwa nyuma tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.