kwani huyo mchumba wako unazikwa nae? nilichogundua hapo we unaogopa kuachwa,lakin hakuna kitu kizuri dunian kama kuishi na amani moyoni, jitahidi kumuandalia mazingiria ya kumueleza ukweli. Bora umuweke huru sasa hivi kuliko kusubiri hadi ndoa halafu akajua kupitia watu wengine
duh hii tyt kidogo,but inaisha tu,jiamin na kueleza kila alichokiwa anakufanyia,na pia utamaduni wetu hauruhusu mwanamke kukaa uchi kiasi hicho maana anamtia mwanaume majaribuni,inawezekana huyo binti aliona ni kitu cha kaqwaida tu but nae anatakiwa a be held responsible,nae asimamishwe...
duh hii tyt kidogo,but inaisha tu,jiamin na kueleza kila alichokiwa anakufanyia,na pia utamaduni wetu hauruhusu mwanamke kukaa uchi kiasi hicho maana anamtia mwanaume majaribuni,inawezekana huyo binti aliona ni kitu cha kaqwaida tu but nae anatakiwa a be held responsible,nae asimamishwe...
siwezi kusema ndio au hapana,kwa sababu yasemwayo yapo,,ila nachoweza kusema ni kwamba wapo wanawake wa aina hiyo,na pia wapo wenye hela na wanoweza kutatua matatizo yao na bado wakawa na heshima ndani ya nyumba,na anaefanya hivo ni limbukeni,,inabid ukimuoa umueleze ukweli na uwe na msimamo ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.