Search results

  1. monaco

    Askofu Mwamakula kuongoza matembezi ya hiyari kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

    Mkuu nielimishe... Unadai Katiba Mpya ili iweje? 1.Iwepo tuuu 2.itekelezwe? 3.Au yote kwa pamoja?
  2. monaco

    CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

    Hata kama hana Chura[emoji30][emoji1786]
  3. monaco

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Ya Kwanza ndo Yenyewe hakuna zaidi ya hiyo inayoweza kumuumiza mwanamke maisha yake yote,ndo maana akasema “matokeo” ndio yanayomuumiza
  4. monaco

    Wakinamama tujifunze kuwalea watoto wa kiume

    Mkuu Kina Mama Wanapenda mtoto wa Kiume Legelege eti hapendi apate shida Yeye akiwa hai,
  5. monaco

    Ubungo flyover ni mwisho wa matatizo

    Mkuu Hayo Maujenzi ndiko watu wanapiga sana Mkuu?,sababu inawezekana kabisa Kujenga Toka Kibaha hadi Town, Au hata Chini ya Aedhi, Nchi za Wenzetu hii ni Kitu ya Kawaida sana saba,Cheki Afrika Kusini kawaida sana,Cheki china tena Mji mdogo kama Chngdu Western Province Kuna Barbara Ya Juu Km 25...
  6. monaco

    Kwanini mwalimu hafanyiwi "certification" kama mhasibu (Certified Public Accountant) ilhali walimu ni wengi na elimu bora ndio msingi wa taifa imara?

    Kwanini? Hawafanyiwi certification? Je kama wanepita kwa Rushwa,hongo nk,kama ulivyosema kwenye fani ya Uhasibu!
  7. monaco

    Kwanini mwalimu hafanyiwi "certification" kama mhasibu (Certified Public Accountant) ilhali walimu ni wengi na elimu bora ndio msingi wa taifa imara?

    Mkuu Kwani Kuwa certified ni Lazima Ufanye Mitihani au usome Kozi husika? Fani kama Ugavi,Wahasibu wanafanya Mitihani,BT mbona Engineers hawafanyi Mitihani Kuwa Certified? Wanaregistered tuu,baada ya miaka kadhaa ya Kazi kwenye fani hiyo anakuwa professional registered! Provided tuu kasomea...
  8. monaco

    Kwanini mwalimu hafanyiwi "certification" kama mhasibu (Certified Public Accountant) ilhali walimu ni wengi na elimu bora ndio msingi wa taifa imara?

    Lakini Kusiwe na Mitihani tuu kama Engineers registration board ambapo hakuna Mitihani,just a report only of what you have done!
  9. monaco

    Kwanini mwalimu hafanyiwi "certification" kama mhasibu (Certified Public Accountant) ilhali walimu ni wengi na elimu bora ndio msingi wa taifa imara?

    Mkuu Kuwa Mzalendo ipende Nchi yako, Nami Nakuongezea swali Mkuu, Kwanini wahasibu,Wagavi ili wawe Certified wanafanya Mitihani,kwanini wahandisi hawafanyi mitihani kuwe registered? Au wao kuna Special flani?
  10. monaco

    Rais Magufuli kuzindua mradi wa umeme Mto Rufiji Julai 26, 2019

    Niseme tuu kuwa HONGERA sana sana Rais Dr.John pombe Joseph Magufuli Kwa Mradi huu,niseme machache... Huu mradi ndio ALAMA kubwa utakayoiacha Vizazi na Vizazi,nikuambie tuu hakikisha Umepanga timu bora katika Mradi huo,Ikiwa pamoja na kupandikiza TISS tangu mwanzo wa Mradi ili kusitokee hujuma...
  11. monaco

    Tahadhari kwa watumiaji barabara ya Morogoro kuanzia kuepuka usumbufu wa foleni

    Kuna Sehemu hujaeleweka Vema aidha umejichanganya... Hasa pale uliposema wale wanaotoka Barabara ya Goba kwenda Mbezi beach,sasa hapa inahusiana vipi na Barabara ya Morogoro? Nilitegemea useme wale wanaotoka Barabara ya Goba kuja Mbezi Mbezi Mwisho Wapite wapi? Kama MTU katoka Goba anataka...
  12. monaco

    Nyumba ya Mengi hapa Machame sasa inamilikwa na wifi yetu

    Mkuu Mbona Mila za Kichagga ziko wazi Mkuu? Huyo Jaque hana kitu,Baba Mdogo Benjamin ndo Amepewa Eneo hilo,Ndio Mila Inasema Hivyo,Kama Eneo Alipewa na Baba yake,Hivyo Mdogo wao wa Mwisho wa Kiume ndo Atarithi,Mkuu unaishi wapi hujui hii habari? Japo Mimi Sio Mchagga ila Nathamimi sana mila kama...
  13. monaco

    "Serikali ipeleke muswada Bungeni kupunguza umri wa utumishi kutoka miaka 60 mpaka 45,watumishi wanakufa masikini"

    Uko sahihi Mkuu ila naomba nirekebishe sehemu moja tuuu Sio wafanyakazi wa serikali tuu ndo watumwa tena hata Walioajiriwa binafsi,sekta binafsi. nimefaya sekta binafsi miaka 9 yaani kila mwezi watu wanafurahi mwezi huu tunamuaga nani nastaafu huwa kuna ka sharehe ukumbini mtu anapostaafu,hivyo...
  14. monaco

    Vipimo vya Malaria

    Wakuu habari, Naomba Kuuliza: Hivi kwanini Hospital nyingi kubwa kama TMJ,Rabininsia,Masana nk no nk Huwa wanapenda Kupima malaria kwa Kutumia kipimo cha MRDT? Kile kinachotoa majibu baada ya Dakika 5. Wakati majibu Mengi huonyesha malaria Hakuna,Wakati unaumwa na Ukienda Kwenye Dispensary...
  15. monaco

    "Serikali ipeleke muswada Bungeni kupunguza umri wa utumishi kutoka miaka 60 mpaka 45,watumishi wanakufa masikini"

    Hapo sawa sawa Mkuu nakuunga Mkono wakubwa wanatumia fedha zetu ili tuendelee kuwa maskini sijui? Fao la kujitoa ni muhimu sana sana,ukisema watakuambia Mifuko itafilisika,mara hakuna Nchi dunia ni inayofanya hivyo,yote hiyo ni kutaka kujenga hoja wabaki na hela wafanye miradi,kwani lazima...
  16. monaco

    "Serikali ipeleke muswada Bungeni kupunguza umri wa utumishi kutoka miaka 60 mpaka 45,watumishi wanakufa masikini"

    Mkuu kwahiyo unataka kusema watu hata Mshahara wanaoupata hauwatoshi mpaka wanaukopea? Unashauri nini Mkuu kwa hiyo comment yako? Au unataka kuhitimisha nini?kutokana na mada? kuwa watu waendelee kuajiriwa au unataka kusema nini haswa Mkuu?
  17. monaco

    "Serikali ipeleke muswada Bungeni kupunguza umri wa utumishi kutoka miaka 60 mpaka 45,watumishi wanakufa masikini"

    Uko sahihi sana sana Mkuu huwa mimi najisemea hivi ukitaka kujipima fikiria je kama kesho ukiambiwa kazi baaasi unaweza kuishi si chini ya miezi 6 ukiwa unajipanga?kwa kipato ambacho sio tena cha mshahara? natamani jibu hili wanipe wana JF Wote Mkuu. yaani kama mshahara umekata unaweza kuendelea...
  18. monaco

    "Aliyemshauri Magufuli kupandisha madaraja badala ya kuongeza mishahara ana akiri za kutosha"

    Mkuu kama nimekuelewa una maanisha hivi: 1.watumishi hupandishwa madaraja kila mwaka 2.Watumishi hupanda madaraja kila baada ya miaka 3 kazini 3.Kwahiyo una maanisha wale ambao alifikia miaka 3 mwaka,2014 kurudi nyua ndio tuu wataajiriwa. 4.Ila wale waliotimizia miaka 3,au waliotakiwa kupanda...
Back
Top Bottom