NI kweli ila ndio mana wazanzibari wanayoipenda nchi yao ya zanzibar tunataka huu Muungano kuwe na usawa maana kwa zanzibar hauleti tija hata uwepo wake kwa kweli
In Sha Allah havitozama
suala la Muungano sio tatizo hata leo uvunjike hakuna shida na ishu kua Islamic State ni ndoto kwa kila muislam kuwe na dola ya Kiislam
Zanzibar itakuwepo na itazidi kuwepo In Sha Allah
Hoja nzuri uliyoileta
ni ukweli usiofichika kwa maana naweza kusema kua Wazanzibari wengi tunapenda kuitwa Mzanzibari na tena hujisikia faraja sana tukiitwa Mzanzibari kuliko mtanzania maana hata katika historia Zanzibar ilikuwepo mwanzo kuliko hiyo tanzania
sio vibaya nawewe ukapenda na ukaona...
kwa kweli jambo nalojiuliza kila siku hivi ni kweli tanzania ilipata uhuru? ama tanganyika ndio iliyopata uhuru jamani ukweli usemwe kua hakuna nchi duniani iliyopata uhuru inayoitwa wa tanzania au tanzania bara...kwani tukisema tanganyika ni dhambi?
Tupo ukingoni mwa zoezi letu la kupiga kura kwa kuchagua viongozi wataoweza kutuvusha katika miaka mitano mengine
Dhima ya kuingia kwenye uchaguzi ni wananchi kuchagua kiongozi wanaomfaa na kumchagua yupi ataeweza kuleta maendeleo.
Suala la kuchagua kiongozi sio jambo la mtu kulazimishwa...
Hakika haya yana mwisho wake
Ipo Siku watakua Huru na waliohusika kuwanyima haki yao Mashehe wetu In Sha Allah malipo yataanza duniani kabla ya kesho Akhera
Amin
Habari Zenu wana Ukumbi,
Baada ya salamu
Napenda kuwasihi sana Watanzania wenzangu kuwa tunaelekea katika kipindi cha uchaguzi. Tujitokezeni kwa wingi ktk Kampeni na tudumishe amani mda wote na ikibidi kampeni zetu ziwe za kistaarabu. Matusi sio silaha ya kumuangusha mpinzani wako, ila sera...
Wana ukumbi habari zenu,
Ama baada ya salamu, nlikua nina Ombi kutoka kwenu kwa ajli ya nchi yetu.
Ama kwa ombi lenyewe ni kuomba Dua kwa aliyetuumba, atujaalie uchaguzi wa safari hii uwe wa huru na wa haki tumuombe pia.
Aliyetuumba kutupa Subra katika kila jambo na mwenye nia mbaya ya nchi...
Sioni wala sio ajabu kwa miaka uliyotaja na hasa ukizingatia kua mara zote alizokua akishida alikua akinyimwa ushindi wake
Ila kumbuka haki ya aliyedhulumiwa hurudi mikononi mwake kwa mda wowote na siku yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.