Wanajf nakaribisha maoni yenu!!
Yangu binafc coni km ni suluhu kwa maana jambo kubwa linaloyumbisha muungano huu ni swala zima la UGAWANAJI WA RASILIMALI YA TAIFA
Sasa km serikaki mbili ilishndwa je hizi tatu itawezekana!? Jibu la haraka nililonalo ni kwmb rasilimali ya taifa itatumika vby coz...
Habari wanajf!! Mimi nataka kufahamu kwamba kwakuwa katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa tanzania ni sheria mama na ni zao la wananchi wa tanzania, na kwamba sheria za kimataifa ili zitambulikd nchini lazima zifate taratibu zilizowekwa na katiba hii!! Lakini je maamuzi ya mahakama za kimataifa...
Najiuliza kama wayahudi walimpakisago Christ kwa misumali msalabani ingekuwa leo unadhani nyenzo gani zingetumika na techno yote hii ya wanadamu kila kukicha tunavumbua vitu vikali vya kuuana cc kwa cc!!?
Sometimes huwa nafikiria especially hay matukio yanao wakumba wanafunzi vyuoni hasa wa kiume kulawitiwa wanapokuwa wamevamiwa tena uvamizi wa silaha za moto.
Swali linakuja wakitaka # 0713 utatoa au ufe lijulikane moja
Me binafc nshasema bora tupigane waniue
Swali jingine imekuja mijitu km saba...
Kuna dogo mmoja kaulizwa na baba yake:
Baba: hivi mwanangu hiyo mitihani utafaulu kweli!?
Mtoto: ndio baba manake mitihani ilikuwa na jibu moja
Baba: kwa vipi!?
Mtoto: mlangoni waliandika YESU NI JIBU kwa hiyo majibu yangu yote ni hayo huoni ilivyorahisi!?
Baba: akazira!!
Mwanamke na mumewe wamelala usiku mara mwanamke katika ndoto yakr akaanza kupopoma " wewe fanya faster mumewangu anakuja fastaaaaa!!" Mwanaume kusikia hivyo akakurupuka kachukua nguo zake nduki chafu!!? Kufika nje mwanaume anagundua kuwa anakimbia nyumba yake na kamuacha wife ndaniNani msaliti...
Jamani mimi swali langu na msaada ninaotaka toka kwenu ni je tunaweza kuchalenji sheria inayoregulate mabadiliko ya katiba na ni kwa namna gani naweza kuichalenji sheria inayofanya marekebisho ya katiba!!? Kimbunga hicho jamani!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.