Katika mkutano wa mgombea urais Leo KIGOMA alishindwa kumnadi mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini baada ya wananchi kumkataa, pamoja na madiwani woote wa CCM, baada ya kuona hali ngumu kumnadi mbunge Magufuli ikabidi ajiombee kura yeye mwenyewe.
Chanzo: Mimi mwenyewe toka uwanja wa Kawawa Kigoma
ilisemwa kuwa anakuja na Chopa so Mara nyingi huwa wanashukia uwanja wa Community center moja kwa moja ndiyo maana watu wote walijaa pale na Airport kukawa hakuna watu,
Kuna vyama vingine vingi tu kwanini act na hivyo vyama nao wasianzishe umoja wao?, au ni lazima ajiunge UKAWA tu?, ZZK alivoenda mtwara na Prof Lipumba alikuwa mwanachama Wa CDM kwa amri ya mahakama, na alikuwa anakana kuwa haitambui act kumbuka vizuri,
acha kabisaa kuna siku nilipanda leina tulifika singida saa 9 ikabid wapak sehem kuvuta muda hadi saa kumi ndo tukaingia stendi, kaham tulifa saa moja na 10 stend kabisa, ila jamaa wanatembea na wanajali muda.
raia waliokufa kumi na tatu, na askari au watendaji waliokufa kwenye operesheni wakipambana na majangiri sita, lakin cjamsikia hata mbunge mmoja akiwaongelea hao ina maana wao sio binadamu au ni haki yao kuuwawa?
cjaelewa hizi picha na kichwa cha habari mbona cnapishana, nyingi zimepigwa hotelini alipofikia na ndipo anasalimiana na polisi tayari kwenda kufanya mikutano, hizo zingine zimepigwa kwenye mikutano ya vijijini, huo ni mtupu.
Kwa maelezo yako hakuna mtu wa manyovu anaefanana na mmasai au muirak, hao wa hivo asili yao ni watusi na asilimia kubwa wa huko wengi asili yenu burundi, mfan
o ukienda SHUZA au mtaa wa LUBANGA kijiji cha MKABOGO, bro unabahati kimbunga hakijakupitia ila bado kipo jiandae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.