Mkuu hapo nakubaliana nawewe, sioni kosa la Babu, hakulazimisha mtu yeyote kumfuata na bado waliomfuata aliwataadhalisha. katusaidia kutuelewesha aina ya watu tulionao katika nchi yetu.
Mkuu umenikumbusha mbali, nakumbuka kama vile alikuwa ndio kwanza kalejea toka nje ya nchi, Sweden?? kama sikosei na akatupa matumaini kwamba atalifanyia kazi tumpe muda, kumbe ndo ikawa kuharibu mpango mzima, na jamaa wakamshitukia.
Kweli kapendeza, kuanzia mguuni mpaka kunako lips, Nawaza hatakuwa na tabia kama za yule mwingine sijui anaitwa nani vile, wa ubaya!!!! No nO NIMEKUMBUBUKA anaanza na We,,,,,,, Yesi Sio uBAYA NI Wema
Mkuu hayo majibu uliyoyatoa ni ya Kisiasa Zaidi na inakuwa ngumu kuweka katika ukweli,
Unapoitaja Tanzania unakuwa umeunganisha Tanganyika na Zanzibar, ambapo hakuna uhuru wa nchi inayoitwa Tanzania bali tunakuwa na siku ambayo Tanzania ilizaliwa kwa maana ingine siku ya muungano.
hiyo tisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.