Wakuu, naombeni msaada wenu wa kitaalamu. Nilinunua Photocopy Machine mpya Canon IR 2520, nimeweka Drum na Toner lakini kila nikijaribu kutoa copy inatoka Plain yaani bila maandishi. Naombeni msaada wenu tafadhari
Kuna watu humu ndani huwa wapenda kuchangia kila mada tena kwa dhihaka na kejeli. kama huna cha kuchangia juu ya mada husika ni bora kukaa kimya au kusoma mawazo ya wenzio.
Jamaa kaleta mada ya muhimu mwingine anachangia bila ya kushirikisha ubongo.
Umewahi kutafakari kwa nini ukame uliotekea...
Mtu yoyote makini anapaswa kuwa makini na hoja yake pamoja na athari za hiyo hoja yake kwa jamii.
Nikweli utafiti ulifanyika na kuonyesha hivo lakin wewe unatumia matokeo ya utafiti huo kwa lengo gani?
Iposiku mtu atafanya utafiti juu ya mchango wa kila kabila au dini ktk pato la Taifa na...
Mh. Tundu Lisu ni miongoni mwa wabunge ninaowaheshimu sana tena sana. Japo sina chama cha siasa lakini nimekuwa nikikunwa na siasa za chadema. Lakini kwa hili kwakweli napenda kutofautiana na Mh. Lisu na chama cha chadema kwa kuendelea kukaa kimya kwa jambo kubwa kama hili na linalogusa hisia za...
Kwakweli magazeti mengi ya tz yanaboa. haimaanishi magazeti yote yaandike kuisifia Chadema au CCM au hata chama chochote au mtu fulani. Pia ni kweli hata nchi za wenzetu tunaodhani wameendelea magazeti yao unakuta yanamrengo fulani lakini huandika facts tupu na hata habari zao huwa ni za ukweli...
Ndg, nami nashangaa na kusikitika. imefikia hatua sisi watz. kwakila kitu kilichoko mbele yetu tunafikiri na kutafakari kwa kutumia dini zetu. Kwa nini tusijadili mada kwa maoni huru bila kuingiza imani zetu za dini? sipingi tofauti za mitizamo yetu juu ya jambo fulani kwani ndo uhai wa jamii...
Jamani tuwe wakweli, Serikali inapeleka ruzuku pale.
Mi nilikuwa kule miezi kadhaa iliyopita nilisikitishwa sana na mambo yanayofanyika pale tofauti na ilivyokuwa mwanzo.
Kuna Makumbusho ya Mwl. Julius K. Nyerere iliyochini ya Makumbusho ya Taifa. Makumbusho hiyo ndio iliyokuwa na dhamana ya...
Hata mimi nilishafika pale nikaambiwa kulipia Tsh.2000 tofauti na 1500 niliyoilipia katika Makumbusho. Makumbusho nilipewa risiti lakini Kaburini sikupewa. Nikauliza utaratibu huo umeanza lini nikaambiwa una mwaka mzima kwa vile nilikuwa nimepeleka wageni wangu ikanibidi nilipie kulikoni kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.