Search results

  1. M

    Wasomi wa Tanzania wametoa mchango gani kwenye Taifa letu mpaka sasa?

    fanya utafiti kaka, mf. walioenda form 1 kwa wastan wa d nin hoja yako, matokeo ya form 2 wanafunz waliofel wako wap kwa mwaka huu
  2. M

    Wasomi wa Tanzania wametoa mchango gani kwenye Taifa letu mpaka sasa?

    TANZANIA HAKUNA WASOMI ILA WAPO WATU WALIOSOMA. Siwezi kueleweka kiurahisi kwa hii kauli mapema ila baada ya hii habari utanielewa tu. Tanzania ni moja ya nchi za dunia ya tatu na kuna mateso makubwa wananchi tunapata kwani hadi sasa hatujaondoa maadui watatu ambao Mwl Julius Nyerere aliomba...
  3. M

    Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

    mwz hatakiw cdm, ccm hawawez kumfukuza wao sheria hamna ila kufahamiana. panya hawez kumfukuza panya
  4. M

    Naweka dau kubwa kwa yeyote anayesema lowasa atafukuzwa/atahojiwa/atazuiliwa kugombea urais

    Uwezo wa kuwafanya lolote viongoz wanao chadema tu, ccm wameshndwa kuvuana magamba had leo
  5. M

    Mkwawa dash za lunch tumezianza ni miondoko ya loooong pass

    BOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOMMMMMMMMM BOOOOOOOOOOOOM Tayari limetoka, Hela ya awamu ya pili tayari imetoka. LEO KAKA BUMIJA
  6. M

    Dr Slaa alakiwa Kigoma kwa Shangwe

    viva CHADEMA, Together as One
  7. M

    CCM yafurahia kapuya kubaka

    Mungu awalaani wote waliokaa kimya juu ya suala hili
  8. M

    Mwenyekiti wa CHADEMA, wabunge Lissu, Msigwa, Sugu, Silinde washikiliwa polisi Iringa!

    MKutano wa ccm wiki iliyopita watu walikuwa wachache sana so wanataka kujidanganya watu wapungue CTRL + Q to Enable/Disable GoPhoto.it
  9. M

    Tamko la walimu kwa serikali na cwt baada ya mishahara

    HILI NDO TAMKO LA WALIMU WA MKOA WA MBEYA JUU YA KUPANDA KWA MISHAHARA, July 2013Tamko hili limetolewa leo tarehe 3 august 2013, mkoani mbeya katika ukumbi wa royal zambezi KIKAO CHA WALIMU WA MKOA WA MBEYA CHA KUJADILI MASLAHI YA WALIMU WA TANZANIA-Tarehe 3 August, 2013...
  10. M

    Tamko la walimu kwa serikali na cwt baada ya mishahara

    SOMA TAMKO LA WALIMU WA MKOA WA MBEYA JUU YA CWT NA SERIKALI JUU YA MISHAHARA NA HAKI MBALIMBALI KWA WALIMU MSUMARI MKALI: HILI NDO TAMKO LA WALIMU WA MKOA WA MBEYA JUU YA KUPANDA KWA MISHAHARA, July 2013
  11. M

    Chuo cha Mkwawa hivi kweli ndo maisha haya

    Hata hostel mbaya kwel.kwan kuna watu tunakaa chumba kimoja had watu 6 hi zaid ya mfugo.hata status ya uanachuo inashuka
  12. M

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Kilambo cha mkolechi,kanazi,ntatumbila,majimoto,lyamba lya mfipa,kacheche-nkasi,rukwa soko la ****,kabwana,obwele-rorya
  13. M

    Walimu Wanaokwenda Kusoma Bila Ruhusa Ajira Mashakani

    Ikifika muda wa ruhusa unaomba unapewa bila shida.mm mwenyewe nimepata ruhusa ya shule 2012 nimeajiliwa sept 2009
  14. M

    Walimu Wanaokwenda Kusoma Bila Ruhusa Ajira Mashakani

    Mwl ukifuata utaratibu unapata ruhusa.inatakiwa kuandika barua mwez wa 2 il wakuweke kwenye bajet.ikifika muda wa ruhusa
  15. M

    Hivi dots/nukta iliyopo/zilizopo kwenye Button namba 5 za SIMU zinamaana ganii????

    Wanatumia vpofu kwan alama hyo ipo kla kwenye smu yenye keypad na si softtouch.ila waapuuz wanadai n alama za freemason
  16. M

    Hongera sana UDSM kwa kuonyesha njia big up!

    hajatoa ila unaweza kuangalia kiwango cha mkopo wa koz yako udsm.kwan ada ya ud na muce ni moja then utajua
  17. M

    hii ni njia mmbadala ya kupata GPA kali kama msuli ukikushinda

    HIYO NOMA,acha kutufundisha kukopi.ila nilitegemea utaelekeza mbinu za ukweli na uhalali
  18. M

    Kwa NEC hii mpya, CCM inakwenda kufa - Dr. Slaa

    ACHA UMBEA ccm inakufa wenyewe wanajua wenye ccm.habari za kujificha mbunge umezitoa wapi wakat mm nlikuwa eneo la tukio
Back
Top Bottom