Wenzetu waleee... wanatuweka kando taratiiiiibu, ona mambo haya.
His Excellency Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya, H.E.Yoweri Kaguta Museveni, President of the Republic of Uganda, H.E. Paul Kagame, President of the Republic of Rwanda as well as Hon. Dr. Barnaba Marial...
kwa kesi ya huyu mama, ukweli ni kwamba anapoteza muda wake na kujiaibisha tu. Hiyo nyumba iliisha uzwa tangu mwaka 2011, pia huyo anayesema kuwa ni mume wake wakati anaweka hiyo nyumba kama third party security alipeleka benki affidavit kuwa hajaoa. Kesi iliisha amriwa mahakama kuu kitambo...
Nauza VOLKSWAGEN PASSAT 2001 MODEL.
Gari lipo katika hali nzuri
Comprehensive Insurance till November 2013.
The car is available for test drive.
Gari imeingia nchini March 2011, Namba zinaanza na BR..
Starting price- TSH 9.5 Million.
Send me a private message if you are interested.
serikali si dhaifu tu, but also ruthless...I am sure wanaweza fukuza Doctors wote, maana hakuna jipya from them. They have nothing to offer on table than empty promises.
Ndo maana hakuana mchezaji wa kimataifa (ni Local players)........ ila hao wote international players waliaanza kua local kwanza. Everything has a beginning, mfano KOLO TOURE ametoka Asec Mimosas kwenda Arsenal kwa Pound 500,000/=
watanzania bwana, hii inadhihirisha, kuna watu wanapenda sana hii inchi iendelee kurubuniwa na kuibiwa mabilioni ya wananchi ili mradi wapate sababu ya kuongea siasa. ushindi wa stars is a true test kwa washabiki wa siasa ila wasioitakia mema nchi. TUBADILIKE JAMANI.......... leo ni kushangilia...
More over, hii ni CV kwa wachezaji wetu.......... Nakumbuka Idrousou Kameni alipata nafasi ya kucheza ulaya kwa kuondoa michomo na penati za wa-argentina katika mashindo ya olimpiki mwaka 2000. that wa an age category competition too. So viva mrisho Ngasa
Nashkuru Curious kwa kunikumbusha hilo, ila still it will count kwa wachezaji wetu.. Nadhani any sensible agent atavutiwa na chochote kilichofanywa na wachezaji wa stars kuwafunga Ivory Coast (mwenyeji). Still it makes a difference.
bwana wewe, kwani sisi tulicheza angani, tumewafunga kwenye nyasi zao regardless wamewachezesha akina nani. Tena kwa kukumbusha, kocha wa Ivory coast alikuja Kutuangalia katika chalenji pale uganda na kutuponda kwa kutumia kocha mgeni na haoni mpira wenyewe tunaocheza. akasema anatusubiri...
ushindi wa Starz ni fungulia mbwa kwa watoto wa geti kali.......... kama nawaona vile jinsi ukimwi unavyosambaa huko jijini Dalisalama na vitongoji vyake.
hao wazambia wanatuhofia sisi, hata tulipokua kule uganda kwa ajili ya kombe la chalenji. kocha wao alikua akiiongelea Tanzania kama timu yenye kucheza kwa nidhamu na akili sana. Hivyo nao wapo cautious kidogo............ Hawa tutawaweza tu, wana beki mbovu ila foward zao zipo very sharp.
wana JF, kama kumbu kumbu zangu zipo saya. Nadhani huu utakua ndiyo first major Win in continental tournaments... Mwaka 80 kule Nigeria tuliambulia sare na vipigo tu. its history.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.