Waalimu wa kike wawili wamejikuta wakiingiliwa kimwili usiku na watu wasiojulikana huku waume zao wakijikuta wamelala chini.
Tukio hili linalohusishwa na imani za kishirikina limetokea miaka miwili baada ya matukio kama hayo kutokea na kisha kukemewa vikali na wana kijiji na kisha kupungua...
Join Date : 6th March 2014
Posts : 4,595
Rep Power : 172062347
Likes Received1819
Likes Given5600
Tanzania hatuwezi kuendelea kwa staili hii, halafu unakuta mtu analalamika ati kazi hakuna na anataka aajiriwe. Atakaeajiri mtu kama huyu kapata...
Ha ha ha ha, kama nakuona vile ulivyojimanua hapo, huku unaandika kwenye kasimu kako ulikopewa baada ya kupigwa nanii, ha ha ha. Mwanamke gani mwenye akili ataamkia kwenye mitandao ya kijamii na kubishania ujinga. Nyie ndo wanawake mizigo nyie, hivi wewe ukiwa na watoto utakuwa na muda wa...
Mbele wanakuwa na Text books, ni lazima ununue. Na kwakuwa unakuta unachanganyika na wazung, wenzetu kusoma sio vita, wanapenda kusoma vitabu, mwanafunzi kabla hajaingia mwaka wa mbele yake anakuwa ameshajua ni vitabu gani vitahitajika na pendine anakuwa ameshanunua in advance. Sasa mwanafunzi...
Kama nnakuona vile unavyotoka povu kwa issue ndogo kama hii, leo jumapili dada nenda kafanye usafi kidogo achakukaa na kubishania ujinga kwenye mitandao ya kijamii. Wanaume zenu wakiwapiga chini, mnaanza kulialia na kutoa vilaana visivyokuwa na msingi. Nenda kafue nguo, kama ulishafua, basi...
Wewe ndo mburula kabisa, unalalamika kuuziwa kitabu ilhali upo chuo? Hujui hapo ni pahala pa kupaia maarifa na maarifa yamo kwenye kitabu? Au ulitaka upewe buuree? Hata vitabu vya dini vinauzwa sembuse vitabu vya elim dunia???Swine..
Suzuki Escudo, 4WD,Manual transmission, 3 doors,Year of Manufacture 1997,Registered in TZ in 2005, Engine Capacity 1590, blue in color in an excellent condition is on Sale. The car has been under the use of a lady. The price is 6.5 M.The car is in Dar-es-salaam.If you are interested inbox me for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.