Utangazaji uko katika mifumo minne:
1. Satelitte Free to Air na Satelite kwa Subscription.
A: Free to air unanunua na kufunga dish lako na unapata channel zote za bure zilizoko kwenye satelaiti, ili mradi vituo husika viko hewani bure.
B: Satellite by Subscription (Huduma za Malipo) ambapo...
Kwani Wanasheria wana matatizo gani ? Mi nadhani ukitaka kuchambua fani zote, kwa hapa kwetu, hakuna isiyokuwa na matatizo......
1. wahasibu....hao ndio wameikausha nchi kwa wizi...... ndio wanaiba fedha za miradi na kurekebisha balansi sheets za Halmashauri zetu...maendeleo hakuna;
2...
Hamna sheria yoyote inayokataza watu kulala idadi hiyo....anayoijua hiyo sheria atuambie hapa. Polisi tu njaa zao na ndio walioita waandishi wa habari. mambo ya kukomoana tu hayo hamna issue wala nini.
Jamaa wanachotaka pesa irudishwe serikalini waichakachue tena kama kawaida yao. Huu ujinga umevuka mipaka. Kama walikuwa serious mbona hawakuidai hiyo pesa ? Mbaya zaidi, hata hao waliohusika kuiba wapo, wengine ni wabunge wa hoiyo hiyo CCM...hiyo pesa bora ikajenge shule na zahanati...
Hii thread kama ni majungu...poa sababu haiko mkinga...haiuumizi kihivyo. Ila kama ni kweli...Mzee mzima atakuwa keshapata message...aache mchezo mchafu kwani la sivyo atajikuta pabaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.